kwanza amepost kama anakimbizwa, halafu kampamba babake mkubwa kana kwamba alikuwemo kwenye list ya hao nguli wa hesabu nchini.Ameanza na masimango kwa title ya marehemu, kama Baba wa mtoa mada haikupaswa kuwa sababu ya kupost msiba.
Mshamba ww, mtu amefariki unahoji maswali ya nn tena itasaidia nnKuwa baba yako ndo kigezo cha kumuita mwalimu nguli wa hesabu? Unawajua walimu nguli wa hesabu wewe? All in all apumzike kwa amani.
anapotosha wasifu wa marehemu!Mshamba ww, mtu amefariki unahoji maswali ya nn tena itasaidia nn
Apumzike kwa amani mzee Mwaipopo... Kesho nitampigia simu mwanae mmoja nimpe pole.Wanajamii Forums mwalimu M waipopo Nwaka amefariki dunia 12/1/2025 Muhimbili hospital alipokuwa anapata matibabu. Mwalimu katika uhai wake alifundisha shule mbalimbali za secondary ikiwemo Kilosa, Pugu,Tambaza, nk. Alikuwa mkuu wa shule za secondary za Namanyere, Rungwe, Ileje.
Alistaafu utumishi wa serikali miaka 16 iliyopita na kuendelea kufundisha shule za secondary za Meta Na Sangu za Mbeya. Atazikwa Kyela Mwaya baada ya kuagwa mbeya mjini ktk makazi yake ya Sae. Anazikwa Leo 16/1/2025 nimempoteza baba mdogo Niko huku Kyela kwa hatua za mazishi Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihidimiwe Amen.
Hiyo orodha ya shule alizofundisha hadi kustaafu ni uthibitisho tosha kuwa ni nguli wa hesabu. Kunywa sumu kama hupendikwanza amepost kama anakimbizwa, halafu kampamba babake mkubwa kana kwamba alikuwemo kwenye list ya hao nguli wa hesabu nchini.
R.I.P aliyeacha LegacyWanajamii Forums mwalimu M waipopo Nwaka amefariki dunia 12/1/2025 Muhimbili hospital alipokuwa anapata matibabu. Mwalimu katika uhai wake alifundisha shule mbalimbali za secondary ikiwemo Kilosa, Pugu,Tambaza, nk. Alikuwa mkuu wa shule za secondary za Namanyere, Rungwe, Ileje.
Alistaafu utumishi wa serikali miaka 16 iliyopita na kuendelea kufundisha shule za secondary za Meta Na Sangu za Mbeya. Atazikwa Kyela Mwaya baada ya kuagwa mbeya mjini ktk makazi yake ya Sae. Anazikwa Leo 16/1/2025 nimempoteza baba mdogo Niko huku Kyela kwa hatua za mazishi Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihidimiwe Amen.
Kufeli kwako hesabu, umetunza hasira mpaka kwa Mwl ambaye hakukufundisha tena humjui, unashambulia mpaka kifo chake. Pole.kwanza amepost kama anakimbizwa, halafu kampamba babake mkubwa kana kwamba alikuwemo kwenye list ya hao nguli wa hesabu nchini.
Moyo wa jiwe kama wako ni ngumu Sana kupata baraka za MUNGU.Kuwa baba yako ndo kigezo cha kumuita mwalimu nguli wa hesabu? Unawajua walimu nguli wa hesabu wewe? All in all apumzike kwa amani.
Duuh!! Una nini lakini?Kuwa baba yako ndo kigezo cha kumuita mwalimu nguli wa hesabu? Unawajua walimu nguli wa hesabu wewe? All in all apumzike kwa amani.