Mwalimu Nyerere alikuwa mharibifu namba moja wa lugha ya Kiswahili

Mwalimu Nyerere alikuwa mharibifu namba moja wa lugha ya Kiswahili

mayenga

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2009
Posts
4,118
Reaction score
1,970
Vituo vingi vya televisheni katika wiki hii ya maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwalimu,vingi vimejikita katika kuonesha hotuba mbali mbali za Mwalimu Nyerere.Licha ya hotuba hizo kuwa na maudhui mazuri,lakini Mwalimu alizidi sana kuchanganya lugha ya kiswahili na lugha ya kiingereza,hata pale alipokuwa akihutubia watu wa kawaida.

Tatizo hli limeendelea kuwa kubwa hata baada ya kifo chake kwa viongozi walio wengi katika taifa hili.Tofauti na Kawawa na Karume katika hotuba zao,Nyerere alipenda usomi wake na umahiri wa lugha uonekane katika hotuba zake.

Kwa namna ya pekee Mkapa alikuwa rais bora katika makuzi ya Kiswahili.Allikuwa akiamua kuongea Kiswahili au kiingereza anakiongea kwa ufasaha mkubwa sana.Tunahitaji kubadilika waungwana.
 
Naona mumeanza tena Mafisadi, huyu mtu jamani alishasema......Alikubali kua alikua ana Mapungufu, basi mapungufu yake yapuuzeni na mazuri yake yachukueni........
Shenzi
 
Naona mumeanza tena Mafisadi, huyu mtu jamani alishasema......Alikubali kua alikua ana Mapungufu, basi mapungufu yake yapuuzeni na mazuri yake yachukueni........
Shenzi

Ahsante sana!
 
Bora umaskini wa pesa kuliko umaskini wa fikra!...

Mkuu nenda kamshitaki!...

Vituo vingi vya televisheni katika wiki hii ya maadhimisho ya kumbu kumbu ya Mwalimu,vingi vimejikita katika kuonesha hotuba mbali mbali za Mwalimu Nyerere.Licha ya hotuba hizo kuwa na maudhui mazuri,lakini Mwalimu alizidi sana kuchanganya lugha ya kiswahili na lugha ya kiingereza,hata pale alipokuwa akihutubia watu wa kawaida.Tatizo hli limeendelea kuwa kubwa hata baada ya kifo chake kwa viongozi walio wengi katika taifa hili.Tofauti na Kawawa na Karume katika hotuba zao,Nyerere alipenda usomi wake na umahiri wa lugha uonekane katika hotuba zake.Kwa namna ya pekee Mkapa alikuwa rais bora katika makuzi ya Kiswahili.Allikuwa akiamua kuongea Kiswahili au kiingereza anakiongea kwa ufasaha mkubwa sana.Tunahitaji kubadilika waungwana.
 
Naona mumeanza tena Mafisadi, huyu mtu jamani alishasema......Alikubali kua alikua ana Mapungufu, basi mapungufu yake yapuuzeni na mazuri yake yachukueni........
Shenzi
Umepata faida ipi baada ya kutukana?
Ukiona hapakufahi c upite tu.
What kind of the person are you!!!!!!!!!!
Dont bother kujibu coz l think l understand what kind of the person you are.
Gud evening dear.
 
Umewahi kutathmini hotuba za Mzee Rukhsa? Kama ni Kiswahili huyu alikuwa namba moja kuliko hata Ben Nkapa!!
 
coment yako mayenga umechanganya lugha sasa mabadiriko yaanzie na ww ktk comment zako
 
Hujachanganya lugha?!!!! Basi ww utakuwa na matatizo, nn maana ya dont bother kujibu? Hicho ni kiswahili ama kingereza? Manapenda kuona madhaifu ya wengine na kuyakosoa kwa nguvu kumbe hakuna tofauti baina yenu!!!! Ngoja nisepe usiniambukize ujinga
 
Umepata faida ipi baada ya kutukana?
Ukiona hapakufahi c upite tu.

What kind of the person are you!!!!!!!!!!
Dont bother kujibu coz l think l understand what kind of the person you are.
Gud evening dear.

Ni nini unachokiongea na ninini ulichoandika baada ya kuitwa Shenzi??
Mambo ya kuona boriti kwenye jicho la mwezio, ha ha ha ha haaaaa!
 
Umepata faida ipi baada ya kutukana?
Ukiona hapakufahi c upite tu.
What kind of the person are you!!!!!!!!!!
Dont bother kujibu coz l think l understand what kind of the person you are.
Gud evening dear.

Kweli wewe unamtindi.o.
 
Vituo vingi vya televisheni katika wiki hii ya maadhimisho ya kumbu kumbu ya Mwalimu,vingi vimejikita katika kuonesha hotuba mbali mbali za Mwalimu Nyerere.Licha ya hotuba hizo kuwa na maudhui mazuri,lakini Mwalimu alizidi sana kuchanganya lugha ya kiswahili na lugha ya kiingereza,hata pale alipokuwa akihutubia watu wa kawaida.Tatizo hli limeendelea kuwa kubwa hata baada ya kifo chake kwa viongozi walio wengi katika taifa hili.Tofauti na Kawawa na Karume katika hotuba zao,Nyerere alipenda usomi wake na umahiri wa lugha uonekane katika hotuba zake.Kwa namna ya pekee Mkapa alikuwa rais bora katika makuzi ya Kiswahili.Allikuwa akiamua kuongea Kiswahili au kiingereza anakiongea kwa ufasaha mkubwa sana.Tunahitaji kubadilika waungwana.
Kwani shida ni nini mkuu?
 
Kwani shida ni nini mkuu?

Shida ni kubwa sana.Katika kukuza kiswahili halisi lazima utenganishe lugha.Haiwezekani kwa mtu ambaye ni kioo cha jamii na uliye tegemeo uwe ndo mharibifu wa lugha kama alivyofanya mwalimu.
 
Vituo vingi vya televisheni katika wiki hii ya maadhimisho ya kumbu kumbu ya Mwalimu,vingi vimejikita katika kuonesha hotuba mbali mbali za Mwalimu Nyerere.Licha ya hotuba hizo kuwa na maudhui mazuri,lakini Mwalimu alizidi sana kuchanganya lugha ya kiswahili na lugha ya kiingereza,hata pale alipokuwa akihutubia watu wa kawaida.Tatizo hli limeendelea kuwa kubwa hata baada ya kifo chake kwa viongozi walio wengi katika taifa hili.Tofauti na Kawawa na Karume katika hotuba zao,Nyerere alipenda usomi wake na umahiri wa lugha uonekane katika hotuba zake.Kwa namna ya pekee Mkapa alikuwa rais bora katika makuzi ya Kiswahili.Allikuwa akiamua kuongea Kiswahili au kiingereza huoanakiongea kwa ufasaha mkubwa sana.Tunahitaji kubadilika waungwana.
huo u dc wako wa UYUI unakuchanganya akili kumbe
 
Ni nini unachokiongea na ninini ulichoandika baada ya kuitwa Shenzi??
Mambo ya kuona boriti kwenye jicho la mwezio, ha ha ha ha haaaaa!

Humu ndani watu mnakurupuka sana.Badala ya kuangalia jina,mnaangalia avatar na kufikia hitimisho.Mayenga na nameless girl ni mtu na mdogo wake,kinachotuunganisha ni avatar moja tunayotumia.
 
Vituo vingi vya televisheni katika wiki hii ya maadhimisho ya kumbu kumbu ya Mwalimu,vingi vimejikita katika kuonesha hotuba mbali mbali za Mwalimu Nyerere.Licha ya hotuba hizo kuwa na maudhui mazuri,lakini Mwalimu alizidi sana kuchanganya lugha ya kiswahili na lugha ya kiingereza,hata pale alipokuwa akihutubia watu wa kawaida.Tatizo hli limeendelea kuwa kubwa hata baada ya kifo chake kwa viongozi walio wengi katika taifa hili.Tofauti na Kawawa na Karume katika hotuba zao,Nyerere alipenda usomi wake na umahiri wa lugha uonekane katika hotuba zake.Kwa namna ya pekee Mkapa alikuwa rais bora katika makuzi ya Kiswahili.Allikuwa akiamua kuongea Kiswahili au kiingereza anakiongea kwa ufasaha mkubwa sana.Tunahitaji kubadilika waungwana.

Asilaumiwe kwa hilo kwani wakati kiswahili kilikuwa hakijakua na kuwa na maneno mengi na bado kinakua.
 
Back
Top Bottom