nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,678
JF imeingiliwa, you dont deserve to be mjengoni humu.Kweli wewe unamtindi.o.
Ila ushauri wa bure, rudi darasani. Pengine ulitoka kapa kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF imeingiliwa, you dont deserve to be mjengoni humu.Kweli wewe unamtindi.o.
JF imeingiliwa, you dont deserve to be mjengoni humu.Kweli wewe unamtindi.o.
He is talking about Nyerere not Nameless girl, umejitahidi ila uko nje ya mada husika.Kwa mujibu wa mleta mada ...nawe ni mharibifu wa lugha!!!
Sina uhakika kama unaelewa ulichoandika.Ni nini unachokiongea na ninini ulichoandika baada ya kuitwa Shenzi??
Mambo ya kuona boriti kwenye jicho la mwezio, ha ha ha ha haaaaa!
coment yako mayenga umechanganya lugha sasa mabadiriko yaanzie na ww ktk comment zako
Umewahi kutathmini hotuba za Mzee Rukhsa? Kama ni Kiswahili huyu alikuwa namba moja kuliko hata Ben Nkapa!!
Nakufananisha Na Muhadhihi Mmoja Pale UDSM , Anamsifia Mama Salma Kwa Kutumia Kiswahili Nje, Sasa Aongee Nn Kama Kiingeleza Hawezi? Nawewe Mzee Mwinyi Achanganye Rugha Ipi Wakati CV Yake Ni Juzuu Kadhaa!
Nakufananisha Na Muhadhihi Mmoja Pale UDSM , Anamsifia Mama Salma Kwa Kutumia Kiswahili Nje, Sasa Aongee Nn Kama Kiingeleza Hawezi? Nawewe Mzee Mwinyi Achanganye Rugha Ipi Wakati CV Yake Ni Juzuu Kadhaa!