Mwalimu Nyerere alisema ukibadilishana Madini ukapewa Gololi wewe ni Zuzu tu. Nape hakuwa bungeni wakati fedha za miradi zinapitishwa?

Mwalimu Nyerere alisema ukibadilishana Madini ukapewa Gololi wewe ni Zuzu tu. Nape hakuwa bungeni wakati fedha za miradi zinapitishwa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nafuatilia hotuba mbalimbali za viongozi wastaafu kuelekea miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.

Nimefurahishwa na hii ya Nyerere anayomzungumzia mchagga mmoja aliyempa mzungu tanzanite na yeye akapewa golori kisha yule mrombo akatoka hapo akicheka na kurukaruka kama ZUZU.

Nimeona pia ile ya mbunge wa Kibaigwa akishangaa iwapo wakati wanapitisha " maswala fulani" pale bungeni walikuwa macho au walikuwa wamelala usingizi?

Sasa kama mlilala usingizi kwanini leo mnamuhoji "marehemu"?

Maendeleo hayana vyama!
 
Tangu lini nape akawa na akili mkuu! Kumbuka 19.09.2019 alipoenda kutubu magogoni alichosema mbele ya camera jamaa ni jinga kabisa !

Kikubwa ambacho kwake sikipendi kabisa nikujifanya yeye na jr makamba wanajifanya wanauelewa kuzidi wengine ndani ya CCM na miongoni mwa wana CCM wanawabudu na kuwapigia makofi!
 
Tangu lini nape akawa na akili mkuu! Kumbuka 19.09.2019 alipoenda kutubu magogoni alichosema mbele ya camera jamaa ni jinga kabisa ! Kikubwa ambacho kwake sikipendi kabisa nikujifanya yeye na jr makamba wanajifanya wanauelewa kuzidi wengine ndani ya ccm na miongoni mwa wana ccm wanawabudu na kuwapigia makofi!
Wanajiita watoto wa makatibu wakuu wastaafu!
 
Kwani shida nini mbona mnasumbuka sana,alichokisema Nape mbona si kibaya kiasi cha kushambuliwa hivyo,kufanya uchunguzi ni dhambi,ama ni kosa kikatiba na kiutendaji?

Magufuli si alikuwa ana/mnamwita, MCHAPAKAZI, MWADILIFU, MZALENDO NA MSEMA KWELI.

Itakuwa busara kama uchunguzi ukifanyika tukabainishiwa ukweli ulio ndani ya majina yake.

Kwangu mimi ninataka tu nipate uhakika kwa njia ya uchunguzi(sahihi), ikiwa alikuwa anaendesha nchi na miradi ya ndani kwa fedha za ndani kama yeye alivyokuwa anasema, ili nipate go ahead ya kumuita MSEMA KWELI.
 
Mazuzuzu uzuzni, bila wapinzani uzuzu si bahati mbaya maana yanajitekenya yancheka yenyewe mazuzu
 
Nafuatilia hotuba mbalimbali za viongozi wastaafu kuelekea miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.

Nimefurahishwa na hii ya Nyerere anayomzungumzia mchagga mmoja aliyempa mzungu tanzanite na yeye akapewa golori kisha yule mrombo akatoka hapo akicheka na kurukaruka kama ZUZU.

Nimeona pia ile ya mbunge wa Kibaigwa akishangaa iwapo wakati wanapitisha " maswala fulani" pale bungeni walikuwa macho au walikuwa wamelala usingizi?

Sasa kama mlilala usingizi kwanini leo mnamuhoji "marehemu"?

Maendeleo hayana vyama!
zuzu ktk ubora wako, hujawah kupost kitu chenye tija.

Ndiyo maana wengi wanasoma wanakupuuza wala hawacomment chochote.
 
Nafuatilia hotuba mbalimbali za viongozi wastaafu kuelekea miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.

Nimefurahishwa na hii ya Nyerere anayomzungumzia mchagga mmoja aliyempa mzungu tanzanite na yeye akapewa golori kisha yule mrombo akatoka hapo akicheka na kurukaruka kama ZUZU.

Nimeona pia ile ya mbunge wa Kibaigwa akishangaa iwapo wakati wanapitisha " maswala fulani" pale bungeni walikuwa macho au walikuwa wamelala usingizi?

Sasa kama mlilala usingizi kwanini leo mnamuhoji "marehemu"?

Maendeleo hayana vyama!
Baada ya kula ugali na papa mtu ataka kuwa mtandaoni, matokeo ni haya! Mwalimu Nyerere kasema......yaani wewe kichwa chako hakiyajui hayo hadi Mwalimu Nyerere akuambie?
 
Nape alikuwa ameshikisjwa adabu na yule Dikteta Uchwara na ilikuwa kidogo nape apotezwe bila ya kumpigia magoti.

Kama Nape kajirudi basi Swadaktaa mbona.
 
Nape alikuwa ameshikisjwa adabu na yule Dikteta Uchwara na ilikuwa kidogo nape apotezwe bila ya kumpigia magoti.

Kama Nape kajirudi basi Swadaktaa mbona.
Utawala huu ukipita na NAPEI hajapata teuzi , utawala unaokuja huyu huyu utamuona atakavyo uponda huu utawala.Hapo kinachotafutwa ni teuzi tuu hakuna llt
 
Back
Top Bottom