Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Kwa sisi tulioishi kipindi rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yupo hai; tunaamini sana falsafa zake na hotuba zake bado zina mashiko sana.... HATA VYAMA VYA SIASA VINATUMIA QUOTES ZA NYERERE KWENYE KAMPENI ZAO.
SWALI LANGU NI JE.....! Baada ya kizazi hiki kinachaomjua NYERERE; yeye atabaki kuwa baba wa tanzania??
SWALI LANGU NI JE.....! Baada ya kizazi hiki kinachaomjua NYERERE; yeye atabaki kuwa baba wa tanzania??