issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
Nadhani kila mwanaJF anaifaham historia ya nguli wa siasa nchini tanzania,baba wa taifa,hayati mwalimu Nyerere.Ndugu ulishawahi kusikia kuwa hayati mwalimu alishawahi kuishi na wake wawili tu katika maisha yake?
Je, ulishawahi kusikia kuwa mwalimu alikuwa hatumii vyakula vyenye gharama kubwa na visivyo na mafuta? Lakini kali zaidi mwalimu hakuwahi kujifunza wala kutaka yaani kuweka nia na yeye aweze kuendesha gari,sasa basi hadi umauti unamkuta alikuwa hajawahi kuendesha gari hata siku moja.
Unamuenzije wewe mwanasiasa au mfuatiliaji siasa kwa hili?
Je, ulishawahi kusikia kuwa mwalimu alikuwa hatumii vyakula vyenye gharama kubwa na visivyo na mafuta? Lakini kali zaidi mwalimu hakuwahi kujifunza wala kutaka yaani kuweka nia na yeye aweze kuendesha gari,sasa basi hadi umauti unamkuta alikuwa hajawahi kuendesha gari hata siku moja.
Unamuenzije wewe mwanasiasa au mfuatiliaji siasa kwa hili?