Mwalimu Nyerere hadi anafariki alikuwa hafahamu kuendesha gari

Mwalimu Nyerere hadi anafariki alikuwa hafahamu kuendesha gari

Najua watu watamsema mamake na. mbowe..!ila sio yeye..!!
Mmmh,,,,,,,,makubwa haya, kumbe hii tetesi kuwa jamaa ana undugu na akina Makongoro ni kweli?? Kuna thread iliwahi letwa humu kumuhusu ila sijui ilifutwa ile....!!!
 
Kuna ambaye kama hajui kuendesha ndege basi itakua uwezo wake tu mdogo lakini ingetakiwa ajue kutokana na kuishi humo zaidi ya ardhini
 
Hao wake wawili ni nani na nani? Naomba uweke bayana. Ni Maria Nyerere na Sophia kawawa, Queen Elizabeth ama nani?

Aendeshe gari la nini wakti siku zote alikuwa akiendeshwa na usalama wa taifa walikuwepo kuhakikisha kila jambo liko sawia?

Hakuwa muhuni kama kina kikwete wa kwenda kwenye madisco usiku na kwa makahaba hivo kutaka kuwa na siri siri za kuendesha magari. Kama vile kikwete pale mbeya akienda block T kwa Maria Mwanjelwa kulala!. Eti raisi!.

aisee...that was a very secretive issue,yet imeshajulikana
 
Mandela alisema alipokutana na Mwalimu mara ya kwanza, 1962, Mwalimu alikuwa anaendesha gari ndogo aina ya Austin:

"I met with Julius Nyerere, the newly independent country's first president. We talked at his house, which was not at all grand, and I recall that he drove himself in a simple car, a little Austin. This impressed me, for it suggested that he was a man of the people." - (Nelson Mandela, Long Walk to Freedom:The Autobiography of Nelson Mandela, New York: Little, Brown & Co., 1994, p. 538).

Umekata kilimilimi.
 
hata JK anajua kuendesha gari kweli.
 
Acheni kumjadili marehemu..IT IS WASTAGE OF TIME, jambo la msingi ni kuitazama Tanzania ilivyo sasa na nini kifanyike ili iweze kusonga mbele.
 
Mandela alisema alipokutana na Mwalimu mara ya kwanza, 1962, Mwalimu alikuwa anaendesha gari ndogo aina ya Austin:

"I met with Julius Nyerere, the newly independent country's first president. We talked at his house, which was not at all grand, and I recall that he drove himself in a simple car, a little Austin. This impressed me, for it suggested that he was a man of the people." - (Nelson Mandela, Long Walk to Freedom:The Autobiography of Nelson Mandela, New York: Little, Brown & Co., 1994, p. 538).

'He drove himself in a simple car, a little Austin'....Kwa maneno hayo bado nadhani haimanishi he was actually self driving himself...

I stand to be corrected maana lugha za watu
 
Unajifunza ili iweje, wakati mandondocha wa kuendesha mpaka kusukuma gari tulikuwepo. Yaani huwa najiuliza, tulivyokuwa tunajipanga barabarani toka asubuhi kumsubiri then yeye anapita saa saba tena wakati mwingine hata kumuona hatumuoni tunaambiwa ameshapita yumo gari ileeee...tulikuwa tunatumia ubongo kufikiri au ilikuwa kiungo kingine...
 
Inaonyesha jinsi watu wanavyokurupuka kuleta uzi bila utafiti. Watanzania ni wavivu sana kujisomea ili kupata maarifa.
 
Kwani Mungu Alimuumba Nyerere Ili Ajue kila Kitu? ?

Mbona Husemi hakuwahi kuendesha Ndege?...traikter...pikipiki.... n.k

Hilo ni jambo la kawaida huwezi kujua kila kitu.. na mimi sijawahi ona Raisi wa Tanzania Yeyote akiendesha Gari.. haimaanishi hawajui ila Vyeo vyao haviruhusu

Mnavyojibu utadhani mleta mada amelaumu yeye kasema tu Nyerere hakuwahi kuendesha gari, hakusema kama ilikuwa sawa au si sawa...
 
Back
Top Bottom