Mmmh,,,,,,,,makubwa haya, kumbe hii tetesi kuwa jamaa ana undugu na akina Makongoro ni kweli?? Kuna thread iliwahi letwa humu kumuhusu ila sijui ilifutwa ile....!!!Najua watu watamsema mamake na. mbowe..!ila sio yeye..!!
Najua watu watamsema mamake na. mbowe..!ila sio yeye..!!
Hao wake wawili ni nani na nani? Naomba uweke bayana. Ni Maria Nyerere na Sophia kawawa, Queen Elizabeth ama nani?
Aendeshe gari la nini wakti siku zote alikuwa akiendeshwa na usalama wa taifa walikuwepo kuhakikisha kila jambo liko sawia?
Hakuwa muhuni kama kina kikwete wa kwenda kwenye madisco usiku na kwa makahaba hivo kutaka kuwa na siri siri za kuendesha magari. Kama vile kikwete pale mbeya akienda block T kwa Maria Mwanjelwa kulala!. Eti raisi!.
Mandela alisema alipokutana na Mwalimu mara ya kwanza, 1962, Mwalimu alikuwa anaendesha gari ndogo aina ya Austin:
"I met with Julius Nyerere, the newly independent country's first president. We talked at his house, which was not at all grand, and I recall that he drove himself in a simple car, a little Austin. This impressed me, for it suggested that he was a man of the people." - (Nelson Mandela, Long Walk to Freedom:The Autobiography of Nelson Mandela, New York: Little, Brown & Co., 1994, p. 538).
aisee...that was a very secretive issue,yet imeshajulikana
hata JK anajua kuendesha gari kweli.
Najua watu watamsema mamake na. mbowe..!ila sio yeye..!!
Mandela alisema alipokutana na Mwalimu mara ya kwanza, 1962, Mwalimu alikuwa anaendesha gari ndogo aina ya Austin:
"I met with Julius Nyerere, the newly independent country's first president. We talked at his house, which was not at all grand, and I recall that he drove himself in a simple car, a little Austin. This impressed me, for it suggested that he was a man of the people." - (Nelson Mandela, Long Walk to Freedom:The Autobiography of Nelson Mandela, New York: Little, Brown & Co., 1994, p. 538).
kama hujui kuendesha baiskeli ndege ataweza wapi labda ungo sawajk anajua kuendesha ndege!
nikikuta jk anaendesha gari akinipa lift nashuka maana simuamini anaweza kuingiza gari kwenye mtaro yulehata JK anajua kuendesha gari kweli.
Kwani Mungu Alimuumba Nyerere Ili Ajue kila Kitu? ?
Mbona Husemi hakuwahi kuendesha Ndege?...traikter...pikipiki.... n.k
Hilo ni jambo la kawaida huwezi kujua kila kitu.. na mimi sijawahi ona Raisi wa Tanzania Yeyote akiendesha Gari.. haimaanishi hawajui ila Vyeo vyao haviruhusu