Mwalimu RWEZAULA wa PUGU afariki dunia

Larusai Mux

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
979
Reaction score
277
Habar wakuu, ni tetesi ambazo nilipata juz kutoka kwa classmate wangu Evaristo Nyondo tuliomaliza nae Pugu boyz '07 kwamba mwalimu mtaalam Wa Advanced maths amefariki dunia toka juzi,ndo natafuta mawasiliano na mwanae Anesius,tutapeana updates zaid.
 
Poleni sana wana Pugu, siye tuliomaliza miaka ya mwanzoni ya 90, hatuwezi kumfahamu huyo mwalimu...RIP Rwezaura!!
 
Ndio tumemuaga Mwl Rwezaula jumamosi hii.
Bila shaka sie tulio mazao yake tutaendeleza yale yote aliyoyaacha vichwani mwetu.
Rest In Peace.
 
Ndio tumemuaga Mwl Rwezaula jumamosi hii.
Bila shaka sie tulio mazao yake tutaendeleza yale yote aliyoyaacha vichwani mwetu.
Rest In Peace.

Poleni sana japo wengne tuko mbali ila kiroho tuko pamoja,
 
RIP
Tuna shortage ya walimu wa hesabu na sayansi hivyo kuondokewa na mmoja wao ni pigo kwa taifa
 
RIP Kamanda
Ila kuna shida ya hawa wataalamu wetu usikute hajaacha ata kitabu ili ule ufahamu uwe transfered kwa vizazi na vizazi.
Kuna haja ya serikali kuwafund hawa walimu angalau wawe wanatunga vitabu tena ikiwezekana kuwe na scheme ya kupromote uandishi bse kuna majembe yakifa ndo imetoka
 

mkuu hapo umenena!,hawa walimu wanakua waalam sababu ya uzoefu kazini,kwel jitihada zinatakikana ili wawe na tabia ya kuandika vitabu,
 
Mungu amlaze mahala pema peponi.

Kwa kweli jamiiforums ni kila kitu na ni kama cnn ya kibongo.Naomba wana jamii tuendelee kupeana taarifa hizi kwa mtandao.Hongera sana walioanzisha hii kitu kwani jamii forums imenifanya kuwa first to know,aksanteni sana admini na wana jamii kwa ujumla bila jamii forum sijui kama ningepata taarifa hii.
 
Pumzika kwa amani mwalimu. Nakumbuka jitihada zake ktk somo la hesabu ambalo lilipelekea vijana wengi waliokuwa wanasoma PCM wapate matokeo mazuri ya somo lake kulinganisha na masomo mengine
 
dah, RIP Rwezaula. Nimemaliza pugu mwaka 2000 so namfahamu fika huyu mwl. alikuwa kipanga wa hesabu pale pugu. Mungu ampumzishe mahala pema peponi.AMINA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…