Mwalimu Sarah wa Kilakala Sec. Alipata kesi ngapi za kuwapa Mimba wanafunzi. Kwanini hakupelekwa Jela?

Mwalimu Sarah wa Kilakala Sec. Alipata kesi ngapi za kuwapa Mimba wanafunzi. Kwanini hakupelekwa Jela?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Makamba.

Nimesikia Kwa watu zaidi ya wanne visa vya Mwalimu Sarah wa Kilakala Sec kuwapa Mimba wanafunzi wa Kilakala na Adrian Mkoba.

Alitambulika kama mwanamke lakini mwenye dushe na dushe lilikuwa linapiga kazi.

Namimba aliwapa madent kadhaa sasa ajabu mbona hakulamba Mvua 30 Jela,

Wanaojua kisa Cha dada Sara mkuje na uhalisia aliwezaje kukwepa kifungo.

Ni hayo tu maajabu ya wadada wenye jinsia mbili na dushe likipiga mnyanduo na mimba juu.

Wana morogoro leteni uhalisia,
Sio utani wala mzaha waliomjua vizuri wapo sio story ya kubuni.
 
Zilikuwaga story tu mkuu hakunaga kitu kama hicho
Kamanda nilikuwa na demu Kwa jina Secilia alisoma Adrian Mkoba Sec school alithibitisha Tabia ya Sarah, ila sijui kwa nini hakuwahi kufungwa Mvua ,30
 
Watu wa aina hii wapo, wanaitwa shemale. Kibiolojia, hawawezi kuzalisha, japo tendo wanalifanya kama kawaida. Sperm zao haziwezi kurutubisha kwakuwa ni nusu mme na nusu mke, that means their sperms are undefined genetically. Ili uweze kufertilize au kuconceive ni lazima uwe mwanaume kamili au mwanamke kamili and not in between.
 
Shemales wanapakua na kupakuliwa speaker. Huu ni mshangao uumbaji wa MUNGU
 
Back
Top Bottom