Sa si ndo fresh,full kufauru hadi six,uzuri wa chuo tunakutana na wahadhiri full manoknewledge tunaachana na walimu uchwara ambao kazi yao kuuza vitumbua na kugegeda wadogo zetu huku kila kukicha wakidai mishahara wakati wamefoji vyeti
no reality tuweni serious katika kuwahukumu walimu hawa cause twaweza kuwa tunachangia kudidimiza elimu pasi kujua. endapo utanithibitishia ni shule ipi katika tanzania na darasa lipi? bila shaka tutajenga imani nawe kama sivyo basi wakati mwingine thread kama hii fb pahala pake