The Red Pen
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 517
- 206
Habari zenu wanajamvi...! Kuna mkasa hapa umenishangaza kidogo.
Kumekuwa na tabia ya wakuu wa shule kuhujumu Baraza la Mitihani kwa kupeleka walimu kufanya marking ya masomo wasiyofundisha wala hawana taaluma ya masomo husika. Kwa mfano mwalimu wa BOOK KEEPING anapewa barua na mkuu wa shule kufanya marking ya Geography ili hali mwalimu husika wa hilo somo yupo.
Hili jambo lilifanywa siri kwa makubaliano ya siri kati ya mkuu wa shule na huyo mwalimu wa Book Keeping huku mwalimu wa Geography akiwa hajui kinachoendelea.
Je wadau hili ni sahihi?
Kumekuwa na tabia ya wakuu wa shule kuhujumu Baraza la Mitihani kwa kupeleka walimu kufanya marking ya masomo wasiyofundisha wala hawana taaluma ya masomo husika. Kwa mfano mwalimu wa BOOK KEEPING anapewa barua na mkuu wa shule kufanya marking ya Geography ili hali mwalimu husika wa hilo somo yupo.
Hili jambo lilifanywa siri kwa makubaliano ya siri kati ya mkuu wa shule na huyo mwalimu wa Book Keeping huku mwalimu wa Geography akiwa hajui kinachoendelea.
Je wadau hili ni sahihi?