Mwalimu wa Civic and Moral Education & Social Studies natafuta kazi. Nipo DSM

Mwalimu wa Civic and Moral Education & Social Studies natafuta kazi. Nipo DSM

Digital Ticha

Senior Member
Joined
Jun 16, 2023
Posts
110
Reaction score
169
Habari,

Mimi ni mwalimu ninaefundisha Civic and Moral Education, Social Studies na Kiswahili kwa primary schools. Additionally, naweza kufundisha matumizi ya Computer.

Lakini pia ninaweza kufundisha History, Civics na English kwa secondary schools.

Elimu yangu ni Digrii ya Elimu (Bachelor of Arts with Education, PS - Linguistics) & Certificate of Teaching Kiswahili kutoka BAKITA.

Ninaweza kufundisha vizuri, kusimamia maendeleo ya wanafunzi, kufatilia nidhamu, kushirikiana na wazazi na kusaidia majukumu ya uongozi wa shule kwa kadri nitavyopangiwa.

Naomba mwenye connection au information inayoweza kunisaidia kupata kazi anisaidie huu mwaka na mimi nianze na ajira.

Napatikana Dar es Salaam lakini naweza kufanya kazi sehemu yoyote.

Shukrani,
DT
 
Habari,

Mimi ni mwalimu ninaefundisha Civic and Moral Education, Social Studies na Kiswahili kwa primary schools. Additionally, naweza kufundisha matumizi ya Computer.

Lakini pia ninaweza kufundisha History, Civics na English kwa secondary schools.

Elimu yangu ni Digrii ya Elimu (Bachelor of Arts with Education, PS - Linguistics) & Certificate of Teaching Kiswahili kutoka BAKITA.

Ninaweza kufundisha vizuri, kusimamia maendeleo ya wanafunzi, kufatilia nidhamu, kushirikiana na wazazi na kusaidia majukumu ya uongozi wa shule kwa kadri nitavyopangiwa.

Naomba mwenye connection au information inayoweza kunisaidia kupata kazi anisaidie huu mwaka na mimi nianze na ajira.

Napatikana Dar es Salaam lakini naweza kufanya kazi sehemu yoyote.

Shukrani,
DT
Hayo Masomo yamefutwa rasmi kuanzia januari hii mwaka 2025. hakuna tena somo linaitwa Uraia (CIVICS), Maarifa ya jamii (Social Studies). Maudui ya masomo hayo yamejumuishwa katika somo jipya la Historia ya Tanzania na Maadili.

Kwa uzoefu huo utakuwa Mwl mzuri tu wa hili somo jipya la Historia ya Tanzania na Maadili.
 
Habari,

Mimi ni mwalimu ninaefundisha Civic and Moral Education, Social Studies na Kiswahili kwa primary schools. Additionally, naweza kufundisha matumizi ya Computer.

Lakini pia ninaweza kufundisha History, Civics na English kwa secondary schools.

Elimu yangu ni Digrii ya Elimu (Bachelor of Arts with Education, PS - Linguistics) & Certificate of Teaching Kiswahili kutoka BAKITA.

Ninaweza kufundisha vizuri, kusimamia maendeleo ya wanafunzi, kufatilia nidhamu, kushirikiana na wazazi na kusaidia majukumu ya uongozi wa shule kwa kadri nitavyopangiwa.

Naomba mwenye connection au information inayoweza kunisaidia kupata kazi anisaidie huu mwaka na mimi nianze na ajira.

Napatikana Dar es Salaam lakini naweza kufanya kazi sehemu yoyote.

Shukrani,
DT
Inbox
 
Nachomekea: Anahitajika Mwalimu , aliyewahi kuwa Mwl mkuu, shule za primary hasa za English medium, awe mwanamke umri kuanzia miaka 45, awe anaishi Dsm, kituo cha kazi Tegeta salasala, kazi "Mwl mkuu". Kama kuna aliye interested akiona tangazo hili, atume CV yake whasap 0786094141. Interview wiki hii.
 
Kuna shule ipo Tegeta mshahara laki 2 mimi nimepata ila nimechemka nauli mpaka uko natumia buku 5 kila siku. Kazi ni saa 12 asubuhi mpaka 12 jioni.
 
Back
Top Bottom