Hongera sana aisee, na ukute unamudu maisha, kitambi juu.Mkuu maisha ni kuchagua, mimi sasa nina zaidi ya miaka kumi kazini nikiwa Mwalimu wa diploma masomo ya sanaa, basic salary ni 780K na take home ni almost 500K+ weka na akina bayput, Crdb, nmb nk . Take home inabaki 200K,hatari sana yaani
Unaishije na hyo 200k mkuuMkuu maisha ni kuchagua, mimi sasa nina zaidi ya miaka kumi kazini nikiwa Mwalimu wa diploma masomo ya sanaa, basic salary ni 780K na take home ni almost 500K+ weka na akina bayput, Crdb, nmb nk . Take home inabaki 200K,hatari sana yaani
What can I do!? ,No way outUnaishije na hyo 200k mkuu
Na ni CCM kindakindaki. Wakupe hata uteuziWhat can I do!? ,No way out
Duh ,kwamba kila mwana-CCM lazima apate uteuzi?Na ni CCM kindakindaki. Wakupe hata uteuzi
Mpaka kifo.Nina diploma ya chemistry na biology. Nimegraduate 2018 mpaka Leo sina Ajira
mwaka Jana Kuna rafiki yangu aliajiriwa akaniambia take home ni 480,000
Kiuhalisia mshahara wa 480k Naona ni Sawa na kusaini mkataba na umasikini
Kama ndani ya miaka 4 ntapanda madaraja hadi salary ya 1m nitaomba Ajira serikalini.
Vinginevyo kuniona nimeshika chaki forever itabaki story.
ITABAKI STORY FOREVER
Una maanisha nini hapa?.Mpaka kifo.
Acha kumdanganya wewe, Kwa hiyo miaka atakuwa na mshahara wa m 2M+.Kwa serikali hii ya CCM NI zaidi ya miaka 15 mzigon ndo utasoma 1M
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app