MWALIMU WA KIINGEREZA(GRAMMAR AND TENSES) KWA WATOTO NA WATU WAZIMA PIA DODOM

MWALIMU WA KIINGEREZA(GRAMMAR AND TENSES) KWA WATOTO NA WATU WAZIMA PIA DODOM

Geneous99

Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
16
Reaction score
24
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Mimi ni mwalimu pia afisa utumishi wa uma,ninayo habari njema kwenu, na watoto wenu, kuwa ninafundisha somo la kiingereza kwa weledi mkubwa na kwa gharama nafuu( 150000-300000) kwa mwezi. Yeyote aliye maeneo ya Dodoma anaweza kunitafuta kwa kunipigia simu namba 0714270416. Lakini pia Niko tyr kutoka nje ya mkoa huu kwa yeyote atakanihitaji. Naomba kuwasilisha.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Mimi ni mwalimu pia afisa utumishi wa uma,ninayo habari njema kwenu, na watoto wenu, kuwa ninafundisha somo la kiingereza kwa weredi mkubwa na kwa gharama nafuu( 150000-300000) kwa mwezi. Yeyote aliye maeneo ya Dodoma anaweza kunitafuta kwa kunipigia simu namba 0714270416. Lakini pia Niko tyr kutoka nje ya mkoa huu kwa yeyote atakanihitaji. Naomba kuwasilisha.
Asante mwalimu ila ufundishe kwa weledi.Usitumie "weredi"!Itafanana na salamu ya kipare.Halafu,sisi ni umma."Uma" ni untensil ya kuchomea maandazi.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Mimi ni mwalimu pia afisa utumishi wa uma,ninayo habari njema kwenu, na watoto wenu, kuwa ninafundisha somo la kiingereza kwa weledi mkubwa na kwa gharama nafuu( 150000-300000) kwa mwezi. Yeyote aliye maeneo ya Dodoma anaweza kunitafuta kwa kunipigia simu namba 0714270416. Lakini pia Niko tyr kutoka nje ya mkoa huu kwa yeyote atakanihitaji. Naomba kuwasilisha.
Kwa hiyo baada ya kumaliza mwezi mtu atakuwa anaongea na kuandika ki English kama mtoto alie kulia kwa kina trump?
 
Back
Top Bottom