mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Asanteni JF kwa kupaza sauti naendelea vizuri kabisa
Kwa hiyo unahalalisha mwalimu mkuu kumpiga mwalimu kama chanzo ni halali?!!Kila siku tunalaumu Polisi kujaza watu sero bila dhamana, tuzoee huu utamaduni, yawezakana chanzo wameshakijua siyo kinachoweza pelekea kuendekea kupigwa.
Wanajifanyaga heshima inapatikana kwa mabavuBado kuna baadhi wana mentality ya mwaka 47.
Na mtuhumiwa wako mkorofi kakamatwa tayariAsanteni JF kwa kupaza sauti naendelea vizuri kabisa
Naam. Atakuwa sasa anafundishwa au atakuwa anajifunza taaaratibu faida na jinsi ya kuwa na subira.😕Na mtuhumiwa wako mkorofi kakamatwa tayari
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kamtoa mwanamke ngeu jamaa lina hasira za kijinga, tuwe tunaangalia na majina ya kuwapa watoto wetu, mwalimu mkuu anaitwa hasiraNaam. Atakuwa sasa anafundishwa au atakuwa anajifunza taaaratibu jinsi ya kuwa na subira.😕
Mkuu hairuhusiwi kupiga,sheria ya kupiga kwa jambo lolote ulilofanyiwa haipo. Zipo mamlaka za kupeleka hayo machangamoto, ila ukipiga umejiondolea haki upande wako. Unahukumiwa moja kwa moja. Bahati mbaya jamaa kapiga mwanamke alafu mwalimu mwenzie atajinasuaje?.Nimemwelewa rasjeff kapita kwamba wahusika wa pande zote mbili i.e. Mlalamikaji (Mwl. Witness aliyepigwa/jeruhiwa) na Mlalamikiwa (mwl. Mkuu aliyejeruhi) katika shauri hili wapate fursa ya kusikilizwa = wajieleze mbele ya sheria. Ni kweli Hakuna Sheria inayotoa Uhalali wa kipigo kwa mtu mwingine Lakini mkuu Renegade ujue kwamba inawezekana mtu akapigwa kihalali kutokana na matendo au kauli zake mwenyewe. Mathalani mtu anakutukana, anakufanyia mizengwe na unamuonya x 2 au 3 lakini hakusikii na anafikia hatua ya kukugusa/ kukushika/kukuundia genge la mizengwe ; Je, hutapandwa na hasira ya ghafla hususan unapomkuta Red hand? Ndo maana huyo rasjeff kasema wasikilizwe ili ibainike ni nini hasa kilichojiri/kisababishi.
Kaka; Hapo IMEKULA KWAKE moja kwa moja.Mkuu hairuhusiwi kupiga,sheria ya kupiga kwa jambo lolote ulilofanyiwa haipo. Zipo mamlaka za kupeleka hayo machangamoto, ila ukipiga umejiondolea haki upande wako. Unahukumiwa moja kwa moja. Bahati mbaya jamaa kapiga mwanamke alafu mwalimu mwenzie atajinasuaje?.
Kwa hyo unaruhusiwa kupiga mtuKabla ya kuhukumu siku zote ni vema kusikiliza upande wa pili.
No matter the situation.
NdioKwa hyo unaruhusiwa kupiga mtu
Kisa umekosewa
Naweza kudhani naongea na mtu timamu kumbeNdio
Mtu anaekosea hupigwa tanua ubongo blaza usiwe kama maiti.......Naweza kudhani naongea na mtu timamu kumbe
Hebu ninyamaze
Kuna haja ya kuacha kuwapa majina mabaya wanetu kwani yanawaathiri hadi kwenye utu uzima wao japo si wote. Huyu Bwana Hasira ana hasira na hana busara. Kumsaidia ni kumfukuza kazi ili aone kama hasira zake zitalisha familia yake ili liwe somo kwa Hasira wengine.MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI
Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.
Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.
Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.
Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.
Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.
Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.
Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.
Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji.
Binadamu akikasirishwa anaweza kufanya jambo pasipo kutarajia (hapo mahali na muda aliokasirishwa). Utetezi ni kukasirishwa.Ndio
Jamaniii!!!, Kumbe Mwalimu wa kike alikuwa mzuri hivi ??!!!.Dah!!!, Eti ameng'olewa jino moja,hadi huruma.Ukute jamaa alinyimwa Papuchi akaamua kumfanyizia.MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI
Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.
Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.
Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.
Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.
Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.
Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.
Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.
Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji.
Ameshakamatwasijapenda kabisa
Mkuu; kifungu gani cha Sheria ya Tz. kinaruhusu? Wee bhana we!! Anagalia Hasira Hasara. Huyo jamaa Kesha kamatwa - Huenda ataonesha uhalali wa kupiga.Ndio