Mwalimu wa Kike apigwa na Mwalimu Mkuu

Mwalimu wa Kike apigwa na Mwalimu Mkuu

IMG-20211012-WA0018.jpg
 
Why Mwamakula ambaye si sehemu ya kazi?
Yaani wewe mwalimu uliyeleta hii taarifa ni bonge la kiaz Sina Shaka ndio nyie walimu wa grade A maana akili yenu ni ndogo Sana hasa kwenye kung'amua Mambo ,ifike wakati ualimu uanzie ngazi ya diploma kwenda degree Hawa wa cheti wafutiliwe mbali kabisa .

Mwalimu mkuu ni mtu mdogo Sana Tena Sana kiasi kwamba hata mratibu kata tu Ana mmudu vizuri kabisa .

Swali polisi imeshindikana ? Afisa elimu imeshindikana ? DED imeshindikana ? CWT ngazi ya wilaya imeshindikana?TSC imeshindikana?
Nikisema wewe mwalimu ni watu mnaoamini Sana watu Kama akina mwamposa au mzee wa upako ntakuwa nakosea ? Nikisema wewe mwalimu ni aina ya watu mnaomini Sana Mambo ya hovyo kwa uharaka bila kutumia akili mfano kujiunga na qnet ntakuwa nimekosea?

Kibaya Zaid umeongelea upande mmoja hujaleta sabab za kupigwa kwa huyo mwalimu ,ingawa najua hata huyo madam angekuwa na makosa kupigwa na mwalimu mwenzie sio sahihi na hairuhusiwi kabisa .

Haya ndio matatizo ya kuruhusu mtu mwenye four ya 27-31 kwenda kusomea ualimu ,ifike mahali ualimu uheshimike Kama kada zingine, ona sasa ulivyo kilaza wewe na walimu wenzako mmeshindwa kumaliza tatizo dogo hilo had mnakimbilia kwa askofu ambae sio sehemu ya kazi .

Standing order mbona inaeleza Waz kanuni za ualimu !! Mnakwama wapi nyie walimu wa grade A ? Mnachafua hii career bwana.
 
MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.

Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.

Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.

Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.

Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.

Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.

Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.

Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji.

Aiseee

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.

Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.

Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.

Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.

Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.

Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.

Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.

Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji.

Siku hizi hakuna Waalimu kuna wavuta bange tu. Kutofautisha kati ya Policcm na Walimu ni shida sana
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Huyo Mussa Hasira ana ubini na jamaa mmoja huko Dar anayeitwa Hamisi Hasira ambaye naye ni mwenyeji wa Morogoro ambaye muda huu yupo mahabusu mwaka wa tatu kwa kosa la mauaji ya Bodaboda.

Isije ikawa ni ndugu maana hii hamu ya kuua seems ni insticts za kurithi
Huyo hamisi hasira anakaa sehemu gani dar
 
Huyo hamisi hasira anakaa sehemu gani dar
Niliona kwenye mitandao just three yrs ago.

Jamaa alikuwa analalamikia polisi kuwa wamemkamata muuaji na aliwataja wenzake lakini hawaendeshi kesi wapo kimya na haijulikani hatmanya haki ya marehemu na yeye hajui anapateje pikipiki yake.

Sikumbuki mahala tukio lilipotokea. Nina interest sana na issues za kisheria
 
Wanawake waalimu wanajeuri sana mbwa hao kisa Wana mabwana wenyepesa
 
Anaongea na wanafunzi watatu mara akaanza kushambuliwa...mmh!

Wekeni taarifa vizuri kubalance mambo
 
MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.

Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.

Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.

Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.

Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.

Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.

Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.

Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji.

Huyu mwalimu mkuu amekaa kiukorofi kama jina lake lenyewe, hivi wanaume mnawezaje kupiga wanawake
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Niliona kwenye mitandao just three yrs ago.

Jamaa alikuwa analalamikia polisi kuwa wamemkamata muuaji na aliwataja wenzake lakini hawaendeshi kesi wapo kimya na haijulikani hatmanya haki ya marehemu na yeye hajui anapateje pikipiki yake.

Sikumbuki mahala tukio lilipotokea. Nina interest sana na issues za kisheria
Hujaeleweka 3yrs ago hiyo kesi ni ya nani ya mauaji uichanganye na ya mwalimu witness kupigwa, watoa taarifa mnakwama wapi
 
Back
Top Bottom