Mwalimu wa Kike apigwa na Mwalimu Mkuu

Mwalimu wa Kike apigwa na Mwalimu Mkuu

Mbona wapo wengine wa ubini huu na ni wapole tuu hao hao wa huko kisaki.A HASIRA, S HASIRA ni wapole tuu ila huyu mwalimu mkuu hakutumia busara sana kusema anataka na kumuua kabisa tena baada ya kumshushia kipigo heavy namna hiyo.

Ila yote kwa yote waeleze sababu za kwa nini kaamua kumpiga kiasi hicho maana walalamikaji nao wapo kimya juu ya sababu ikiyopelekea hayo kutokea.
Hapana
Tusiitetee busara kama kigezo cha kuhalalisha kosa ama nia ya kutenda kosa.

Hapo kuna kesi mbili.
1. Kujeruhi
2. Kutishia kuua

Naamini kwamba endapo huyo gaidi atapata nafasi tena anaweza akamuua huyo mwalimu mwenzake hata kwa mbinu nyingine.

Tuendelee kusubiri polisi wakishamalizana na CHADEMA labda watashughulikia hili suala
 
Atakuwa alimkatalia.

Sasa mwalimu mkuu ngoja ukawe mkuu ukuu vile hauna akili
 
MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.

Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.

Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.

Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.

Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.

Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.

Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.

Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji.

tatizo la wanawake wa sikuiz wanatumia uanamke wao kama point of weakness, kujivimbisha na kuleta kiburi na madharau, wakijua watatetewa na sheria au mamlaka iliyopo.

Hapo hakuna cha mswalia mtume, sheria ichukue mkondo wake kwa usawa na wote wawajibishwe kwa kadri ya makosa yao.
 
Pamoja na hayo lakini hakumpi mwanaume yoyote haki ya kujichukulia sheria mikononi mwake. Huyo Mwalimu Mkuu anaweza kabisa kupoteza kazi ná kuishia lupango akabaki na majuto mjukuu.

tatizo la wanawake wa sikuiz wanatumia uanamke wao kama point of weakness, kujivimbisha na kuleta kiburi na madharau, wakijua watatetewa na sheria au mamlaka iliyopo.

Hapo hakuna cha mswalia mtume, sheria ichukue mkondo wake kwa usawa na wote wawajibishwe kwa kadri ya makosa yao.
 
Hao Ni wapenwapenz
Mkuu wa Shule Ni mkaguzi namba MOJA was Shule.

Taarifa ya Nini akupe?
Ili uandae Nini Cha ziada ambacho Kama asingekuja usingekiandaa?

Wewe ndo hujui ualimu ,

Nguo ndefu Ni SHERIA Siyo hiyari yako,

Halafu uvae nguo FUPI ili hao wanafunzi waone Tako LAKO au? Bora ulivyoandika ualimu.
Nyooo si nilikuwa navaa za chini ya magoti si zinaruhusiwa? Sasa hivi najipigia kimini na guu langu la bia utaniambia nini?
 
Hongera kwa kujikomboa kutoka utumwani. Headmaster anayo mamlaka ya kumsimamia ufundishaji wa mwalimu wake darasani?
Kuna wakaguzi wanakujaga naxwanatoaga taarifa, yeye tulikuwa tumetofautiana ndo akaamua kunifanyia hivyo.thank God nilikuwa namzidi kinge hata pale natoka nilinyooka ka kinge kazuri nikatoka nanina zake
 
Hapana
Tusiitetee busara kama kigezo cha kuhalalisha kosa ama nia ya kutenda kosa.

Hapo kuna kesi mbili.
1. Kujeruhi
2. Kutishia kuua

Naamini kwamba endapo huyo gaidi atapata nafasi tena anaweza akamuua huyo mwalimu mwenzake hata kwa mbinu nyingine.

Tuendelee kusubiri polisi wakishamalizana na CHADEMA labda watashughulikia hili suala
Sio kesi 2 tuu mkuu; bali ongezea 3.Kudhalilisha (si alimshika bila ridhaa yake wakati anampiga? si alimpiga mbele ya wanafunzi wake?)
4. Kusababisha uvunjifu wa amani mahali pa kazi (Sheria, Kanuni na Maadili ya mahali pa kazi zinakataza kabisa kupigana au kufanya ghasia na fujo mahali pa kazi)
5. Kukiuka na kuonesha mfano mbaya kabisa wa Utovu wa Nidhamu wa kiwango cha juu Shuleni kwake. - Hafai tena kabisa kuitwa Mwalimu ila ni Mbabe.
6. Kusababisha Hasara ya mali na Muda Shuleni - si Shule nzima na Wanafunzi iliingiwa na Taharuki?Kutakuwa kuna vitu vilivunjika/haribika e.g. meza, viti n.k. wakati wa tukio.
Hapa naona kama vile malaika wake tena naye ameandika Usiue, Usizini,Usimtamani mwanamke asiye kuwa Mke wako, Usimtendee mwenzako kile ambacho wewe hupendi kutendewa- mpende jirani yako kama nafsi yako.........😭
 
Nyooo si nilikuwa navaa za chini ya magoti si zinaruhusiwa? Sasa hivi najipigia kimini na guu langu la bia utaniambia nini?
Hey! wacha bhana..mtoto wa kike.com au siyo?🤣🤣
Lakini mwenzio huko keshapewa mwanya kwa nguvu.
 
...lakini sababu nini? Haiwezekani Mwalimu wa Kiume akatoka huko aliko navkumpa kisago Mwalimu mwenzake wa Kike bila sababu! Kamkataa?
 
Huu ni uhuni mwalimu mkuu kushusha kipondo kwa mwalimu mwenzake, nikiwa kijana mdogo na mgeni kwenye ajira ya ualimu mwalimu mkuu alileta za kuleta kwangu halafu ni mtu mzima kwangu alinikwinda shati ili anipe kichapo mbele za wanafunzi na walimu, ilibidi nami nikunje ngumu kulinda heshima yangu kwa wanafunzi na walimu wenzangu. TSD wanapaswa kuwawajibisha kinidhamu walimu wanaodhalisha wenzao ikiwemo adhabu ya demotion kabla ofisa elimu kuamua huo utovu wa nidhamu kazini.
 
MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.

Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.

Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.

Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.

Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.

Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.

Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.

Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji.

Daaaaah
 
Huyo Mussa Hasira ana ubini na jamaa mmoja huko Dar anayeitwa Hamisi Hasira ambaye naye ni mwenyeji wa Morogoro ambaye muda huu yupo mahabusu mwaka wa tatu kwa kosa la mauaji ya Bodaboda.

Isije ikawa ni ndugu maana hii hamu ya kuua seems ni insticts za kurithi
Ni kama ukoo wa Matumla, awe Matumla wa kike au kiume lazima awe mwanamasumbwi
 
Back
Top Bottom