Mwalimu wa Linguistics na Literature

Mwalimu wa Linguistics na Literature

Rutorial k

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2014
Posts
960
Reaction score
855
ninayo furaha kuwatarifu kuwa Mimi ni mwalimu wa kingereza isimu (linguistics) pamoja na fasihi ya kingereza (literature). nimehitimu chuo kikuu cha dodoma na kufaulu vizuri kabisa.hivyo kama kuna shule yoyote ya binafsi yenye uhitaji na mwalimu wa masomo husika awasiliane na Mimi kupitia email maigemaro@gmail .com.elimu ni nuru.
 
tufanye ajira binafsi kama uko tayar tuungane tuandike vitab nitatoa sponsorship kama uko commited
 
tufanye ajira binafsi kama uko tayar tuungane tuandike vitab nitatoa sponsorship kama uko commited

ni wazo zuri sana kuandika vitabu.ebu nicheki kwenye email tuone la kufanya
 
Kama ni wa UDOM hapana, ingekuwa umegraduate UDSM au SAUT ungepata nafasi hapa shuleni kwetu, but graduate wengi wa UDOM ni vilaza kupita maelezo.
 
Kama ni wa UDOM hapana, ingekuwa umegraduate UDSM au SAUT ungepata nafasi hapa shuleni kwetu, but graduate wengi wa UDOM ni vilaza kupita maelezo.

udsm au sauti?hahahahaha nimefanyanao tp sana ila sitaki ubishi wa kijinga!
 
Kama ni wa UDOM hapana, ingekuwa umegraduate UDSM au SAUT ungepata nafasi hapa shuleni kwetu, but graduate wengi wa UDOM ni vilaza kupita maelezo.

we boya una represent nonsense! Nani kakwambia chuo kina determine ubora wa mtu? Kama huna cha kuandika kausha!
 
ninayo furaha kuwatarifu kuwa Mimi ni mwalimu wa kingereza isimu (linguistics) pamoja na fasihi ya kingereza (literature). nimehitimu chuo kikuu cha dodoma na kufaulu vizuri kabisa.hivyo kama kuna shule yoyote ya binafsi yenye uhitaji na mwalimu wa masomo husika awasiliane na Mimi kupitia email maigemaro@gmail .com.elimu ni nuru.

We ni kabila gani??ni wa kike au kiume??
 
Back
Top Bottom