Mwalimu wa Madrasa apandishwa Kizimbani kwa tuhuma za kuwachapa fimbo (Ukatili) wanafunzi wa madrasa

Mwalimu wa Madrasa apandishwa Kizimbani kwa tuhuma za kuwachapa fimbo (Ukatili) wanafunzi wa madrasa

Katika uislam hakuna elimu dunia wala elimu kuzimu, pili kwa hii tz kuna maprofesa wangapi ni waislam na wanaijua dini vizuri? Kuna shule ngapi za kiislam? Mnakaa mnazusha vitu kisha chuki tu.
Hayo mambo ya elimu dunia na akhera mnayaleta wenyewe, hakuna anayewawekea maneno vinywani.

Nchi hii ina wasomi wakubwa wa Kiislamu ambao fikira zao hazifanani na hawa walimu wa madrasa. Kitendo cha kipuuzi kama anachokifanya ndicho kinasababisha watu wanawajadili.

Kemea huo ukatili.
 
Mna
Mnafiki! Unapinga adhabu ya viboko muda huo huo unataka kijana akafungwe unachimba chimo hili ili ufukie shimo lile
Mnafiki wewe unayemtetea huyo ticha mvaa kobazi wakati unajua kabisa hana saikolojia ya kufundisha watoto zaidi ya kutumia Jazba.
 
Back
Top Bottom