Intention yake ni kumdhuru SITAKUBALI lkn kama ni mwalimu kwa lengo la kuadhibu haina shida si mwalimu tu hata kihrani apige mwanangu huko mtaaniHapo ni wewe ulimpiga.
Ndio maana ulikuwa na Amani.
Vipi uone mtu baki anampiga mwanao mwenye umri kama wa hawa watoto?
Je utaona ni sawa tu?
Kuna aina ya upigaji kulinganisha na umri.Kama
Intention yake ni kumdhuru SITAKUBALI lkn kama ni mwalimu kwa lengo la kuadhibu haina shida si mwalimu tu hata kihrani apige mwanangu huko mtaani
. No problem
Sio hata kwa watu wazima hilo fimbo too much lafaa kupiga kuua joka tena kubwa yeye anatumia kupiga watotoKuna aina ya upigaji kulinganisha na umri.
Sasa hao watoto umri wao ni mdogo sana, Halafu hilo li bakora nila kupigia watu wazima kabisa.
Sasa yeye anachapia vitoto vidogo tena kwa nguvu kubwa kama anaua nyoka.
Akili huna tu.Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru
Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
Mithali 22:15
Ulichoandika ni kweli kabisa kuwa kuna wengine ni watukutu sana, ila kumbuka Mkuu kuna watoto pia ni autistic ila wazazi wala waalimu hawaelewi hilo.Food for thought. Watanzania unatujua hatukuambii ukweli mpaka mambo yaharibike ndio tunaanza kunyoosha vidole.
Wewe hatuwezi kuikubali rating ya nidhamu ya mtoto wako mwenyewe kwasababu you can not objective. Kila mzazi anaona mtoto wake hana shida.
Hongera umepata mtoto ukiongea anasikiliza.
Haya mambo yana bell curve. There are extremes at both ends. Sasa kama wako yuko kushoto kuna wengine wako kulia mwa hiyo curve, hawasikii maneno ila wanarespond to bodily pain. Usitake system yako i apply kwao.
Nimekupa changamoto kidogo tu bingwa wa malezi umenivamia personally kuwa nina roho mbaya. Kwema huko? Unaweza kweli ukaongea na mtoto mtukutu akakuelewa kama challenge yangu tu umeshindwa kuipangua kiutu uzima?
Mimi sitaki kushutumu ni watoto wa dini Gani hawana maadili Kwakuwa sijafanya utafiti wa Hilo na kujua sababu ni zipi ?Uongo wasio na maadili wengi watoto wa kiislamu
Mume unakuta ana wake wanne leo anaenda kaa kwa fatuma ,kesho kwa Hadija keshokutwa kwa mwanaidi nk
Watoto wanakosa ulezi wa karibu wa baba na mama zao wakichefukwa na huyo mwanaume wanaachia watoto wajilee wenyewe mabarabarani huko huku wao wakipuyanga mchepuko huko
Ni bible sijajua kana na ustadhi naye kaambiwa na QuranAliyekwambia maadili yanaletwa kwa adhabu ni nani?
Acha ujinga na huo uzungu wako usio kuwa na kichwa na miguu.Katili mwingine huyu hapa. Kwanza unaelewa neno mtoto? Yaani watoto ndiyo mmeona ni wa kuchapwa tu? Nyinyi ndiyo huwafanyia watoto ukatili.
Mtoto kama kafanya makosa, ongea naye, fimbo haijawahi kuwa suluhisho, ndiyo maana tuna watoto watukutu, watoto wa mitaani waliokimbia vipigo majumbani na mateso. Hata hivyo mtoto wangu kafanya mafundisho, hakuwahi nilalamikia kuchwapwa.
Mental disorders zipo na zinakuwa diagnosed na utapata professional helpUlichoandika ni kweli kabisa kuwa kuna wengine ni watukutu sana, ila kumbuka Mkuu kuna watoto pia ni autistic ila wazazi wala waalimu hawaelewi hilo.
Wao ni kupiga tu, je ni wangapi hawajui mtoto ana matatizo au mzazi ndio mkatili?
Kuna wazazi wengine wana ukatili sana na sio kuwafundisha nidhamu watoto hasha, bali wao ndio wana matatizo ya akili
Mimi pia nimepigwa utotoni na baba na pia waalimu.
Lakini nikiwaza kuna wakati mwingine unapigwa kisa unacheza tu au umerudi mchafu baada ya kuchezea mvua au mpira.
Kama unategemea vitabu vya kidini vikufunze kuhusu maadili, You lack common sense.Ni bible sijajua kana na ustadhi naye kaambiwa na Quran
Tatizo hizi dini watu wamezisoma juju na vimafundisho kidogo Kwa mwamposa basi wanaloeaFatilia historia ya kusambaa kwa ukristo acha kelele.
Ukristo hata kutafsiri bibilia watu walifanya harakati kama za chadema😀😀😀na kuna walionyongwa unasema nini wewe.Hizi dini zinawatoa mishipa wajinga wajinga ila watu smart wanajua dini zote zimesambaa ila kwa ncha ya upanga na umwagaji damu wa kumithilika.
Punguza mahaba niuwe rudi shule usome vizuri historia mpaka hiyo dini yako inakufika watu wangapi walikatwa vichwa kijana🤝
Huko kuburuza kortin kumekaa kisiasa kwa ajili ya kuwafumba macho wajinga kama nyinyi na wana harakati uchwara na ndio maana hizo kesi huwa haijulikani zinaishiaga wapi, hata hii jamaa atapata dhamana na itaishia hewani na ataendeleza kichapo kwa matoto matundu.Tutawaletea na mkiwagusa tu lazima tuwaburuze kortini. Pumbaf, kama una stress kapige watoto wako achana na watoto wa watu.
Wewe ndo huna common sense hiyo adhabu imetolewa kwenye mazingira yapi na walikuwa wanafanya Nini na wewe ni nani aliyekufunza kuwa na maadili na ulijuaje una maadili?Kama unategemea vitabu vya kidini vikufunze kuhusu maadili, You lack common sense.
Mfundishe mwenyewe sasa.Hapo ni wewe ulimpiga.
Ndio maana ulikuwa na Amani.
Vipi uone mtu baki anampiga mwanao mwenye umri kama wa hawa watoto?
Je utaona ni sawa tu?
Kwani wewe hujaiona hiyo video?Wewe ndo huna common sense hiyo adhabu imetolewa kwenye mazingira yapi na walikuwa wanafanya Nini na wewe ni nani aliyekufunza kuwa na maadili na ulijuaje una maadili?
Kwa hao watoto Wana umri gani?Kuna aina ya upigaji kulinganisha na umri.
Sasa hao watoto umri wao ni mdogo sana, Halafu hilo li bakora nila kupigia watu wazima kabisa.
Sasa yeye anachapia vitoto vidogo tena kwa nguvu kubwa kama anaua nyoka.
Katazame video uwaangalie vizuri.Kwa hao watoto Wana umri gani?