Mwalimu wa Masasi mjini anayetaka kuja Mtwara mjini.

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Habari wakuu, kama wewe ni mwalimu toka Masasi mjini na upo tayari kuja Mtwara mjini tafadhali nipigie tubadilishane vituo. Namba yangu ni 0716 149 747. Ahsanteni sana.
 
Kama sijakosea hili tangazo nililiona linatembezwa masasi day sec siku ya semina flani!! Nenda mtandi sec kuna mwl anaitwa jumapili geofrey anatqka kuja mtwara mjini...
 
Kama sijakosea hili tangazo nililiona linatembezwa masasi day sec siku ya semina flani!! Nenda mtandi sec kuna mwl anaitwa jumapili geofrey anatqka kuja mtwara mjini...
Naomba unisaidie mawasiliano ya huyo mwalimu ukiweza.
 
Mhh mtwara mjini maisha magumu, Michele kilo sh.2500!

Mbona unaenda chaka swali rahisi sana hili??
Sasa mambo ya bei ya mchele yanakujaje hapa??
Mtu kauliza vitu vingine nawe unajibu vinginee...
Duh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…