Wamtaa huu
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 168
- 55
Wadau,
Mimi ni mwalimu wa Physics/Chemistry natafuta kazi private sector.Nimekuwa serikalini kwa miaka takribani minne na ninahitaji kubadilisha ajira.Kwahiyo kama wewe unahusika au unamiliki au unajua upungufu wa masomo hayo(yote au mojawapo) kwenye shule,taasisi ama shirika lolote la elimu either O-level au A-level na unahitaji mwalimu commited kwenye hayo masomo basi tufanye mawasiliano.
Elimu yangu ni chuo kikuu (Bsc.ed).Kuna tangazo la mwl wa physics humu kuhitajika lakini mimi na mtoa tangazo tumetofautiana magnitudes za seriousness i.e hayupo serious kutafuta mfanyakazi kama nilivyo serious kutafuta kazi!
Nimezunguka shule kadhaa lakini imetokea kutokukubaliana sana kwenye baadhi ya mambo mostly ni maslahi na mikataba kwa ujumla.Kama upo interested na nitumie private message.Karibuni sana.
Mimi ni mwalimu wa Physics/Chemistry natafuta kazi private sector.Nimekuwa serikalini kwa miaka takribani minne na ninahitaji kubadilisha ajira.Kwahiyo kama wewe unahusika au unamiliki au unajua upungufu wa masomo hayo(yote au mojawapo) kwenye shule,taasisi ama shirika lolote la elimu either O-level au A-level na unahitaji mwalimu commited kwenye hayo masomo basi tufanye mawasiliano.
Elimu yangu ni chuo kikuu (Bsc.ed).Kuna tangazo la mwl wa physics humu kuhitajika lakini mimi na mtoa tangazo tumetofautiana magnitudes za seriousness i.e hayupo serious kutafuta mfanyakazi kama nilivyo serious kutafuta kazi!
Nimezunguka shule kadhaa lakini imetokea kutokukubaliana sana kwenye baadhi ya mambo mostly ni maslahi na mikataba kwa ujumla.Kama upo interested na nitumie private message.Karibuni sana.