Mkomawatu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 273
- 123
Habari ndugu wanaukumbi?.Mimi ni mwalimu wa sekondari niliyeajiriwa mwaka huu hapa wilayani Ukerewe.Naomba kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu aliyepo Wilaya yoyote ile mkoani Morogoro,Pwani au Tanga.Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0757920263 na 0718073753.