Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukran alhamdu Lillah ukowapi mremboAlhamdulilah..kayfa haluqa/qi...?
hawa ummbwa wangekua wanahasiwa ingependeza sanaTABORA - MWALIMU Dotto Elias (29) wa Shule ya mchepuo wa Kiingeza ya Mtakatifu Doroth iliyopo maeneo ya kidatu Manispaa ya Tabora anayedaiwa kumnajisi mwanafunzi wa darasa la pili chooni amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Tabora.
Akisoma mashtaka hayo jana Agosti 15, 2024, Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali, Charles Magonza aliiambia mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, John Mdoe kuwa mtuhumiwa alikuwa akimnajisi mtoto huyo (jina limehifadhiwa) chooni kipindi cha kunywa uji.
Alidai Julai 26, 2024 kati ya saa 1 na saa 2 usiku bibi wa mtoto huyo alibaini mtoto huyo kufanyiwa vitendo vya unajisi baada ya kumkagua na kuona alivyoharibiwa.
Alisema kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Adhabu Sura ya 16 marejeo ya Mwaka 2022 Kifungu cha 154 Sura Ndogo ya 15 ya Makosa ya Utu, mtu atakayemwingilia mwenzake kinyume cha maumbile kwa lazima ama kwa kutaka mwenyewe adhabu yake/zao wote ni kifungo cha maisha gerezani au kifungo cha miaka 30 jela.
Mshtakiwa Elias baada ya kusomewa mashitaka yake alikana kutenda kosa hilo kwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka saba.
Chanzo: Habari Leo
Nipo kigamboni kwa matajiri... karibu 😂shukran alhamdu Lillah ukowapi mrembo
matajiri tupo masaki bhanaaNipo kigamboni kwa matajiri... karibu 😂
No one shall be condemned unheard.hawa ummbwa wangekua wanahasiwa ingependeza sana
Papa benedict huko vatican anapambana huo ushenzi uhalalishweAbdul huko Kagera kawabandua nyuma watoto watano kwa Muda na nyakati tofauti tafuta uzi
Ndio uliyoyajaza kwenye UBONGO wako?Papa benedict huko vatican anapambana huo ushenzi uhalalishwe
DunderheadMkuu wa Mkoa kamwambia mzazi mwenye majonzi "haya yatakwisha." Mtoto ambae kaachiwa kovu la maisha physically na psychologically
Halafu kaamuru mwananchi anaewashawishi familia wakae chini wayamalize akamatwe na polisi! Sijui kwa kesi gani
Na sielewi kwa nini wilayani na mkoani huwa hakuna mwendesha mashtaka aliyesomea sheria, na mwenye mamlaka ya kufungua kesi ya jinai, kuwatua mzigo hawa "wenyeviti wa ulinzi na usalama" ambao kwenye sheria ni ma dunderhead
Speed ya 6g ungetembeaHuu ushetani hauna dini,ila kama huyo mbwa angekua na jina la kiislam uzi ungetembea speed ya sgr
Mbn mtaan huko watoto wa mapdri vs masister wamejaa weng no hawana wazazAbdul huko Kagera kawabandua nyuma watoto watano kwa Muda na nyakati tofauti tafuta uzi
Kwani Watoto wa mashekhe na maimamu hawapo au unazungumzia nini?Mbn mtaan huko watoto wa mapdri vs masister wamejaa weng no hawana wazaz
Tunapoambiwa kuwa mwisho wa Dunia umefika mwisho wake tuelewe, haya matukio yamekithiri san. TUTUBUNI DHAMBI ZETU kwani YESU Yu karibu anabisha .TABORA - MWALIMU Dotto Elias (29) wa Shule ya mchepuo wa Kiingeza ya Mtakatifu Doroth iliyopo maeneo ya kidatu Manispaa ya Tabora anayedaiwa kumnajisi mwanafunzi wa darasa la pili chooni amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Tabora.
Akisoma mashtaka hayo jana Agosti 15, 2024, Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali, Charles Magonza aliiambia mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, John Mdoe kuwa mtuhumiwa alikuwa akimnajisi mtoto huyo (jina limehifadhiwa) chooni kipindi cha kunywa uji.
Soma Pia: Mwalimu Mkuu adaiwa kumlawiti mwanafunzi Bunda
Alidai Julai 26, 2024 kati ya saa 1 na saa 2 usiku bibi wa mtoto huyo alibaini mtoto huyo kufanyiwa vitendo vya unajisi baada ya kumkagua na kuona alivyoharibiwa.
Alisema kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Adhabu Sura ya 16 marejeo ya Mwaka 2022 Kifungu cha 154 Sura Ndogo ya 15 ya Makosa ya Utu, mtu atakayemwingilia mwenzake kinyume cha maumbile kwa lazima ama kwa kutaka mwenyewe adhabu yake/zao wote ni kifungo cha maisha gerezani au kifungo cha miaka 30 jela.
Mshtakiwa Elias baada ya kusomewa mashitaka yake alikana kutenda kosa hilo kwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka saba.
Chanzo: Habari Leo
Wakili mbobeziAbdul huko Kagera kawabandua nyuma watoto watano kwa Muda na nyakati tofauti tafuta uzi