Mwalimu wa St. Doroth (Tabora) ashtakiwa kwa kumnajisi Mwanafunzi wa Darasa la Pili

Hivi wizara ya ustawi wa jamii inafanya kazi gani kuzuwia haya maporomoko ya maadili? Maana huu si mmomonyoko tena, ni maporomoko. Au wanangoja matukio wazime moto?

cc: Dkt. Gwajima D.
 
hawa ummbwa wangekua wanahasiwa ingependeza sana
 
hawa ummbwa wangekua wanahasiwa ingependeza sana
No one shall be condemned unheard.

Usimhukumu kabla ya kumsikiliza kwanza. Dunia ya Sasa Ina mambo mengi Sana. Kuna suala la visasi, chuki binafsi, wivu, kugombea vyeo makazini, n.k, n.k,
Huko maofisini na makazini Watu wapo kwenye Vita kali Sana ya kugombea madaraka au vyeo. Usione ukadhani! Kuwa mtulivu sana kwenye masuala kama haya.
 
Dunderhead
 
Vijana acheni kula 0. Unaanza taratibu kula wanawake mwisho unakula na watoto
 
Binadam wa sasa ni wa kuogopa mno, bila kujali uko nae karibu kiasi gani..husiana na biandamu mwenzio kwa tahadhari za juu sana iwe ni kibiashara, kiimani na kokote kule..kaa macho sana
 
Tunapoambiwa kuwa mwisho wa Dunia umefika mwisho wake tuelewe, haya matukio yamekithiri san. TUTUBUNI DHAMBI ZETU kwani YESU Yu karibu anabisha .

Shetani anaweza kumtumia mtu kufanya ukatili wa aina yoyote na sisi tukaona ni madhaifu ya mtu kumbe ni HAPANA si yeye. TUOMBEANA WATANZANIA hali mbaya inakuja.

I love jamiiforums
 
Tatizo kwenye shule za private wanafunzi ni wachache mno so ni rahisi kwa mwalimu kumlawiti mwanafunzi chooni. Mabinti wengi wanao soma shule za private huwa wanavunjwa bikira wakiwa darasa la 6 au la7 na huwa wanavunjiwa chooni... kwa sababu mazingira yanaruhusu.

Jambo hilo ni gumu sana kufanyika Kayumba kwa sababu kunakuwa na watoto wengi sana so ni ngumu sana mwalimu kumnajisi mtoto chooni.

Dawa ni kupeleka watoto wenu shule za Kayumba period.

uwingi wa watoto kwenye shule za Kayumba ni ulinzi pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…