Mwalimu wa Ujasiriamali

Mwalimu wa Ujasiriamali

benbry

Senior Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
183
Reaction score
54
Habari zenu wote. Natafuta Mwalimu mzuri atakayeweza kutoa Elimu ya Ujasiriamali kwenye kikundi cha familia mwanzoni mwa mwezi wa kumi (inaweza kuwa tarehe 4 October). Kikundi kina watu wenye uelewa tofauti tofauti, elimu na kiasi cha mitaji tofauti pia.

Muda wa somo ni kati ya masaa mawili hadi matatu,

Mahali ni DSM Mbezi Beach- Salasala

Kuhusu GHARAMA, tutakubaliana tukiwasiliana

No. yangu 0713 322 856

Asanteni
 
Back
Top Bottom