Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 52
Yesu pekee ndie alieweza kufunga siku 40 bila kula. Asirudie tena huyo atakufa ingawa lengo lake ni zuri
Hebu tujuze zaidi . ni kwaya kuu au ya uinjilisti au ya vijana au ya kina mama.
amepona mwalimu wetu
kumbe na wewe unamba kwaya mimi nataka kujua kupiga kinanda nifanyaje
TB Joshua alifunga siku 40 kama Yetu!
TB Joshua alifunga siku 40 kama Yetu!
amepona mwalimu wetu
kumbe na wewe unamba kwaya mimi nataka kujua kupiga kinanda nifanyaje
Ni yesu pekee ndio alifunga siku 40 mkuu bila kula mchana na usiku, TB Joshua alifunga siku 40 lakini alikuwa anakula asali na karanga etc..