Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amepona mwalimu wetu
kumbe na wewe unamba kwaya mimi nataka kujua kupiga kinanda nifanyaje
Yeyo takwenya. Mwalimu anaendelea vizuri kiasi ila ameshangaza. Amekunywa uji zile themosi za vikombe 12 peke yake. Tumuombee mwalimu wetu.
ikoooooo..jamani mwalimu mungu amtie nguvu
mi sio mpenzi wa kula lakini siwez kufunga kula
mama yangu
TB Joshua alifunga siku 40 kama Yetu!
amepona mwalimu wetu
kumbe na wewe unamba kwaya mimi nataka kujua kupiga kinanda nifanyaje
acha uongo
Yeyo takwenya. Mwalimu anaendelea vizuri kiasi ila ameshangaza. Amekunywa uji zile themosi za vikombe 12 peke yake. Tumuombee mwalimu wetu.
Mwalimu wetu wa kwaya alizimia baada ya kufunga(fasiting)masaa 120. Kufikishwa hospitali madaktari wanasema hajala na ana vidonda vya tumbo. Wameshauri madokta kuwa mtu akitanga ni vema akapimwa ili kuangalia kama afya ya mhusika iko vema au la. Wote tuwe makini katika hili
Mwalimu wetu wa kwaya alizimia baada ya kufunga(fasiting)masaa 120. Kufikishwa hospitali madaktari wanasema hajala na ana vidonda vya tumbo. Wameshauri madokta kuwa mtu akitanga ni vema akapimwa ili kuangalia kama afya ya mhusika iko vema au la. Wote tuwe makini katika hili
TB Joshua alifunga siku 40 kama Yetu!
Yesu pekee ndie alieweza kufunga siku 40 bila kula. Asirudie tena huyo atakufa ingawa lengo lake ni zuri
dada yale mafunzo ya self-defence ushamaliza?[/QUOTEhahhahahah nimeona ninunue sime tu
dada yale mafunzo ya self-defence ushamaliza?[/QUOTEhahhahahah nimeona ninunue sime tu
haha haya bana