Mwamakula: Naweka mkakati upya ulioboreshwa zaidi kisha nitautangaza kwa Watanzania

Ndio nimeuliza kuna ulazima wa hilo la kufanya matembezi kudai katiba katika hali tuliyopo ambapo watu wanakufa na matatizo ya kushindwa kupumua na tunazika watu kila siku?
Hali iliyopo chukua hatua wewe binafsi.
 
Aangalie asijepotezwa na wasiojulikana
 
Hali iliyopo chukua hatua wewe binafsi.
Kuchukua hatua ni pamoja na kuepuka na misongamano isiyo ya lazima,sasa hiyo katiba imeanza kulalamikiwa leo?iweje huyo Askofu atake kuwakusanya watu kudai katiba katika kipindi ambacho watu wanajitahidi kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima? huoni kama anarudisha nyuma jitihada za watu kujikinga na corona?
 
Mbona kaeleza jinsi atakavyoepuka misongamano kwenye maelezo yake. Tafuta muda usikilize speech zake
 
Mbona kaeleza jinsi atakavyoepuka misongamano kwenye maelezo yake. Tafuta muda usikilize speech zake
Kuna ulazima huo wa kufanya hayo matembezi wakati huu ambako kuna hatari ya maambukizi ya corona?wakati watu kipindi hiki wanajaribu kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima yeye ndio kaona kipindi ndio cha kuwatembeza watu kwa makundi kwa ulazima gani ni kipi hicho kinachomfanya aone ni lazima afanye sasa?
 
Kumbe ni matembezi na sio maandamano!.
Ndio maana aliwashinda waliomnukuu vibaya.
 

Corona haizuii matembezi ya hiari... Raia watachukua tahadhari zote na kudumisha amani...
 
Corona haizuii matembezi ya hiari... Raia watachukua tahadhari zote na kudumisha amani...
Watu gani wa kuchukua tahadhari?hivi wewe umeona kwenye huo msiba wa leo jinsi watu walivyokusanyana tena bila barakoa,watu kama hao ndio wa kuchukua tahadhari? Ndio maana nauliza kuna ulazima hasa wa kufanya hayo matembezi wakati huu?
 

Yupo Askofu Dr. Josephàt Gwajima. Yeye unamweka kundi gani kwani?
 
Kichwa kinajielewa sana hiki, naona furaha mno kuona watu wasio na unafiki ndani mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…