bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kuliko Hilo eneo kukaa wazi ni Bora aliyejenga hizo frem anasaidia kutoa ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tuna subiri wakae tuuu...wagombanapo tembo ziumiazo ni nyasii
🤣🤣kabsa waswahili wanasema yetu machoSi tuna subiri wakae tuuu...
Na kama hatujakosea hatuwezi omba msamaha 😂😂😂😂😂😂😂👊👊👊👊
Now tusikilize harufu tuu...🤣🤣kabsa waswahili wanasema yetu macho
Jerry slaaa aende hapo[emoji1787][emoji1787]kabsa waswahili wanasema yetu macho
atapewa fungu lake na yy🤣🤣Jerry slaaa aende hapo
[emoji1]
Ova
Muulizeni mkuu wa mkoa japo atawafokea msisikilize jibu lake hata hivyo fremu zote tayari zimeuzwa, Mbagala kuna vituko!View attachment 2863230View attachment 2863234
Bila shaka huyu ni kigogo mzito sana, anajenga frem kwenye hifadhi ya barabara, ndani ya kituo cha mwendokasi Mbagala, kibali amepata wapi? Ilikuja Tanroad ikasimamisha ujenzi na kupiga X jamaa akafuta kwenye x za kijivu ujenzi unaendelea, wakaja tena wakarudia kupiga X bado mafundi wanapaua kwwa kasi. Idadi ya frem ni nyingi sana.
Ni nani huyu ambaye ni mkubwa kuliko serikali?
Mkuu wa mkoa amemshindwa?
Meneja wa Tanroad amemshindwa?
Dar wamemshindwa?
Wizara ya ardhi imemshindwa?
Je Jery Silaa anajua hii?
Nikitazama najisemea hakuna kikubwa duniani kama pesa na madaraka. Utafanya unavyotaka.
Madhara ya ujenzi huu yatakuwa makubwa sana sababu zitabinya upana wa barabara kwa magari na wateja wanaofanya manunuzi, hivyo kuongeza kero nyingine kwa watumiaji.
Mkuu wa mkoa sahv yuko bize na kutaka kuivunja ddc kariako wajenge jengo wenyewe wanasema la kisasa lenye frame 400 [emoji1]Muulizeni mkuu wa mkoa japo atawafokea msisikilize jibu lake hata hivyo fremu zote tayari zimeuzwa, Mbagala kuna vituko!
Tayari zimeisha nunuliwa.Mkuu wa mkoa sahv yuko bize na kutaka kuivunja ddc kariako wajenge jengo wenyewe wanasema la kisasa lenye frame 400 [emoji1]
Ova