DOKEZO Mwamba ajenga fremu kituo cha Mwendokasi Mbagala licha ya kupigwa stop na serikali

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwani mamlaka gani inayomzuia Hugo mwamba anaefanya jambo jema la kujenga frem
 
Huwezi tenganisha frem/ soko / machinga na frem labda kama unakaa masaki ndo huwezi ona ni ajira ngapi utazalisha kupitia frem hizo.
 
Ubunifu wa hali ya juu kabisa,anataka abiria mkiwa kwenye mwendokasi unatoa mkono nje unanunua unachotaka unaokoa muda,safi kabisa watu kama hawa ndo tunawataka.
 
Hata stand ya nwendo Kasi gerezani ilitakiwa izungukwe na mafrem ili kupunguza tatizo la ajira na jiji kuingiza si chini ya billion tatu kwa mwezi
 
Muulizeni mkuu wa mkoa japo atawafokea msisikilize jibu lake hata hivyo fremu zote tayari zimeuzwa, Mbagala kuna vituko!
 
Muulizeni mkuu wa mkoa japo atawafokea msisikilize jibu lake hata hivyo fremu zote tayari zimeuzwa, Mbagala kuna vituko!
Mkuu wa mkoa sahv yuko bize na kutaka kuivunja ddc kariako wajenge jengo wenyewe wanasema la kisasa lenye frame 400 [emoji1]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…