Mwamba alietunyoosha huyu hapa

Laiki moza laiki doutaz.
 
Ila miaka ya nyuma pesa Za wanaume zilikua zinalika kirahisi sana

Hawa wa siku hizi wamejanjaruka ukifanikiwa hata kula 10,000 ujue utaliwa tu
Ujiandae kisaikolojia tu maana lazima uishe
 
Huyu jamaa ni mimi kabisa. 😎 😎😎

Siwezi kujiua kwa sababu ya wapumbavu kama jamaaπŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…