Kusema ukweli huyu mchezaji alikuwa ndio kipenzi cha wana Simba, yaani mwamba tulikupenda sana lakini ndio hivyo tena.
Tulikupa ufalme wa soka la nchi hii, tukakuimba na kulitaja jina lako kila mahali..
Kati ya timu zote duniani umekosa timu ya kwenda paka kuamua kwenda kwa hawa maadui zetu utopolo??
Sisi sio pipozi tutakutana...........