Wamarekani ni watu wasiojitambua wanaongozwa na wale mayahudi ,yaani hawana uhuru kweny nchi yao ...Wamejazwa jeshini ili wakapambanie wenye pua ndefu🤣🤣Na wewe ni nani hapo USA mkuu
Trumpol anafanya kwa ajiri ya masilahi ya Wamarekani na si vinginevyo, ikitokea amekufa, atakufa kwa ajiri ya watu hao hao
Nyinyi endeleeni kuwapamba na kuwa machawa wa viongozi majizi na wala rushwa kwenye nchi zenu
Video ya mda mrefu sana hiyo enzi anashiriki michezo ya mielekaKwenye hii video hapo tu bado hakuapishwa kuwa rais.
Hapana ni ya mwaka jana mwishoni. Wakati wa mieleka hakukuwa na kofia Ya MAGA na hakuwa anavaa hiyo kofia ya Maga na bado alikuwa kijana.Video ya mda mrefu sana hiyo enzi anashiriki michezo ya mieleka
Oyoo nilikumiss mbona sijakuona 🤣Kwenye hii video hapo tu bado hakuapishwa kuwa rais.
Rais wa dunia 🙌🙌 hacheki na kima
dunia nzima mkuu,jamaa hachagui pa kupiga..Afica mzima inalia.
😂😂Huyo ni raisi wa Marekani sio wa dunia acha kuandika pumba
Undertaker mwenyewe kaokoka hataki tena unyambisi........ni mtu wa yesu safi kabisaundertaker