Mwamba Donald trump, hacheki na yeyote.

Mwamba Donald trump, hacheki na yeyote.

Oyah, Rais wa dunia 🙌🙌 hacheki na kima.

View attachment 3221503
1738429207686.png
 
Hacheki ktk lipi sasa? Mm sijaelewa mkuu.
 
Ameshafanya maamuzi huko somalia, kwa magaidi waliojificha
 
Kufa sio hoja ,ila anagusa sehemu mbaya kwa usalama wake.
Na wewe ni nani hapo USA mkuu

Trumpol anafanya kwa ajiri ya masilahi ya Wamarekani na si vinginevyo, ikitokea amekufa, atakufa kwa ajiri ya watu hao hao

Nyinyi endeleeni kuwapamba na kuwa machawa wa viongozi majizi na wala rushwa kwenye nchi zenu
 
Ni majukumu. Unapokuwa mkubwa aidha Kwa utajiri, madaraka huwa majukumu ni makubwa sanaaa na hasa kama unajitambua hata tabasamu unalazimisha.
 
Back
Top Bottom