Hello great thinkers, habari zenu wote! Ndo nimeingia hv jukwaani , baada ya kupitia topics mbalimbali nimebaini kuwa jf ni forum ya ukweli kbs, na hatimae nikajongea tartibu kabisa, your cooperation will be highly appreciated. Asante sana!
Karibu sana JF mkuu Finyango ya Nguku, kwa niaba ya JF napenda kuchukua nafasi hii kukukaribisha kwa mikono miwili hapa jamvini!!! ila hilo jina lako mmhh!!!