Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Huko ngazi za chini hakuna kura yoyote. Ndio maana ccm kwa kushtukia hilo wameona wafanye figisu za kuzuia watu kugombea ili watu wapite bila ya kupingwa. Pia imebidi msimu huu wazuie waandishi na mitandao kutoa habari za wapinzani ili taarifa zisifike ngazi za chini.Huko unapopaita ngazi za chini ndio kuna mamilioni ya kura za CCM sasa
Sisi tunazungumza uhalisia. Ila ninyi ndio mnajidanganya. Maana vijana wengi hatuna ajira na hali ni ngumu na chama chenu kinadharau vijana. Nataka kukutaarifu kuwa,Kura za vijana tu zinatosha kuleta ushindi wa kishindo kwa Lissu.Msijidanganye kuhusu hilo.
Mwaka 2005 - 2010 JK alishinda kwa ushindi mnene sana, lakini 2010 - 2015 akashinda kwa ushindi wa kawaida...
Nashukuru kwamba wewe umenielewa kuwa hamna kura za kuweza kumtoa madarakani JPM kwa sababu tangu mwanzo hamkuwapa hamasa watu wenu kwenda kurekebisha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura, sasa hapa kilichobaki mmeweka matumaini kutoka kwa wana CCM wenyewe eti wanaoichukia CCM......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kitu kama hicho, kingine nikuhakikishie......HAKUNA MWANA CCM ANAEIPENDA CDM......HAYUPOHuko ngazi za chini hakuna kura yoyote. Ndio maana ccm kwa kushtukia hilo wameona wafanye figisu za kuzuia watu kugombea ili watu wapite bila ya kupingwa. Pia imebidi msimu huu wazuie waandishi na mitandao kutoa habari za wapinzani ili taarifa zisifike ngazi za chini.
Chama chako ndio maana kinafanya figisu nyingi.
Ila ujumbe utafika tu.
Nilichopenda kwako ndugu Akilindogosana wewe angalau ni muelewa na sio kama wenzakoSisi tunazungumza uhalisia. Ila ninyi ndio mnajidanganya. Maana vijana wengi hatuna ajira na hali ni ngumu na chama chenu kinadharau vijana. Nataka kukutaarifu kuwa,Kura za vijana tu zinatosha kuleta ushindi wa kishindo kwa Lissu. Hapo hatujajumlisha wazee mliowadhurumu pensheni na wakulima wa korosho, pamba na kahawa mnao wadhurumu. Bado sijajumlisha kura za mataga, bado kura za watumishi wa umma na kuna kura ya polepole hapo. Yaani kwa kweli sijui itakuwaje.
Picha la wajumbee litarudi oktoba.Nashukuru kwamba wewe umenielewa kuwa hamna kura za kuweza kumtoa madarakani JPM kwa sababu tangu mwanzo hamkuwapa hamasa watu wenu kwenda kurekebisha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura, sasa hapa kilichobaki mmeweka matumaini kutoka kwa wana CCM wenyewe eti wanaoichukia CCM......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kitu kama hicho, kingine nikuhakikishie......HAKUNA MWANA CCM ANAEIPENDA CDM......HAYUPO
Tuombe afya na uzima tufike Oct 28, lakini msije kuzikimbia wala kuzikana kauli zenu, tutakuja hapa kuulizanaPicha la wajumbee litarudi oktoba.
Hata mimi naelewa vizuri matatizo tunayoyapitia na chanzo cha matatizo hayo, ila bado sisi ni wamoja. Na umoja wetu bila kujali chama tutauonesha oktoba 28, kura zote tutampa lissu.Nilichopenda kwako ndugu Akilindogosana wewe angalau ni muelewa na sio kama wenzako
Usiwe na hofu.Tuombe afya na uzima tufike Oct 28, lakini msije kuzikimbia wala kuzikana kauli zenu, tutakuja hapa kuulizana
nakubaliana na wewe mwisho wa siku sisi wote ni watanzania hatuwezi kuleta mabadiliko kwa umwagaji damu huko ni kujiumiza wenyewe bila kujali makabila yetu dini zetu imekuwa ndugu tunaongoza kwa inter married hivyo ujomba ushangazi ushemeji umetucement zaidi.Njia tuliyo mayo ya kuleta mabadiliko ni sanduku la kura hivyo shime tukapige kura kwa ajili maisha yetu,Tukemee ushetani wowote utakao jitokeza kwa kucheza na maamuzi ya wanaanchi kwa kutokubali uwazi kwenye mchakato wa uchaguzi,na dhuluma kwa maamuzi ya wananchi.Shime wana, shime akina baba, shime Wafanyakazi, shime Wafanyabiashara. Hakuna kususia uchaguzi kama ilivyotokea uchaguzi ama uchafuzi wa serikali za mitaa. Tujitokeze tukumbushane. Fanya maamuzi sasa inawezekana tena unaweza kuendelea na furaha kama unayo.
Tutoke kwa wingi.
Nimeshaipata ...nimeikomboaUtakuwa umeuza kura yako kwa hao majambazi, haiwezekani kipindi kama hiki muhimu kumchinja Magu uibiwe kadi yako ya kupigia kura !