Juzi imetolewa Tuzo ya mhamasishaji bora wa ligi na TFF kwa hiyo wanatambulika rasmi.Kwanza hawa wahamasishaji ni kazi ambayo haiongezi chochote kwani mashabiki wa Simba na Yanga ni watu ambao popote walipo wapo royal kwa timu zao ni kazi ya viongozi kutengeneza timu bora na kusajili vizuri na kuweka benchi la ufundi lenye tija kwani timu ikishinda mashabiki wenyewe watajaa kila mechi na jezi watanunua tu bila kuhamasishwa, huu ujanja ujanja kwenye mpira haufai kwani unatupoteza kama taifa na matokeo yake tunakua na timu ya taifa mbovu kuliko kawaida.
Manara anaumia kuwa nje ya Simba Ila ndo hivo haiwezekani kurudihuyu jamaa hawezi kunyamaza kabisa mambo mengine ni kula kinya tu tatizo mdomo
Hatujalea bomu sie ndio maana tulimtimuaAlipokuwa simba mlimpamba sana, sasa hivi ndio mnamuona roporopo[emoji2297][emoji2297]
Hili bomu mlililea wenyewe acha awalipukie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuli muche baabaMakolo muli bwanji babaa
Hivi inajibiwaje vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa tutamwambiaAnakera sana huyu mtu. Sijui nani alimwabia yeye ndiye kila kitu katika hii dunia?
Halafu akiambiwa ukweli anajificha kwenye upungufu wa melanin kwenye ngozi yake (albinism) na kuanza kuomba huruma kwa umma. Haya siyo maneno ya kuongea hata kidogo.
View attachment 1985591