๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐nimecheka had nimelia
Wivu...๐nilijuaga uko vizuri upstairs umenidhihirishia kuna fyuzi zimelegea
Unamaanisha kwamba vijana wote wanatakiwa kufocus tu kwenye kuitoa CCM madarakani?Kwa mtindo huu, hakuna kijana mwenye ataweza kuiondoka sisiem madarakani...โน๏ธ
Watu wako serious sana Jamani ๐คฃ๐คฃ๐คฃWivu...๐
Watakupigia mawe ooho. ๐๐kwahiyo kupenda ni dhambi..? wanajamiiforum wa jukwaa la mapenzi sijui vipi!! bora nikashinde jukwaa la dini nikaimbe kwaya huko...๐คฃ
Kunawatu wako serious sana kwakweli ๐watakoma!
Hujawah kuwa serious๐ila mi nipo serious kweli nakupenda
Pole mkuusitaki kwendako halafu kuna machawa wananitag! hawajui mpk sasahivi hali inazidi kuwa mbaya!
Sentensi hii tu unataka ukubaliwe? Hujui kuiombaila mi nipo serious kweli nakupenda
mbona unadandia treni kwa mbele mahi?Wivu...๐