KaziIendelee
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 327
- 229
Nawasalimu sana wanajamvi,
Chondechonde kazi ya Uwaziri sio lelemama na hasa kwa nafasi yake. HUKU mikoani umeme hakuna, nchi ipo gizani lakini yeye yupo busy kugawa mitungi midogo ya gesi badala ya yeye kama Waziri wa Nishati kuangalia mambo yenye "impact" kubwa kwa watanzania kama suala la kukatikakatika kwa umeme.
Kama kuna mgao wa umeme Watanzania waelezwe. Sisemi haifai wewe kugawa Taifa na Orxy gas huko ila hilo hata Orxy au Taifa wangefanya kwa kushirikiana na wasaidizi wako kwa niaba ya Wizara.
Watu wakisema unaanza kusema unasemwa, HAPANA.
Fanya kazi, kuna shida mahala.
Chondechonde kazi ya Uwaziri sio lelemama na hasa kwa nafasi yake. HUKU mikoani umeme hakuna, nchi ipo gizani lakini yeye yupo busy kugawa mitungi midogo ya gesi badala ya yeye kama Waziri wa Nishati kuangalia mambo yenye "impact" kubwa kwa watanzania kama suala la kukatikakatika kwa umeme.
Kama kuna mgao wa umeme Watanzania waelezwe. Sisemi haifai wewe kugawa Taifa na Orxy gas huko ila hilo hata Orxy au Taifa wangefanya kwa kushirikiana na wasaidizi wako kwa niaba ya Wizara.
Watu wakisema unaanza kusema unasemwa, HAPANA.
Fanya kazi, kuna shida mahala.