Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787]asake wa tandale[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787]asake wa tandale[emoji23]
Na mimi pia nataka kufahamu.Kwevo manake nini?
kuna huyu msanii wa kimarekani anaitwa 'quavo' sasa mondi anapenda kuiga muonekano wake basi watu wanamuita kwevo kumtania😂Na mimi pia nataka kufahamu.
Anhaaa hapo sawa, Asante kwa kutuhabarisha sisi wakijijini. 😊kuna huyu msanii wa kimarekani anaitwa 'quavo' sasa mondi anapenda kuiga muonekano wake basi watu wanamuita kwevo kumtania😂
binti kiziwi The Boss
View attachment 2701362
Poda inaongeza mzuka wa kupeform stejini, lakini usizidishe utaharibuNi vitu vinavyonipa shaka, namsikitikia kijana kama kweli atakuwa anabwia poda.
Njoo nikupe mimbaJinsi yako tafadhali! Ni Me au Ke?
Kwevo manake nini?
asake wa tandale[emoji23]
PenseliMguu au spana hiyo?
UMAARUFU SIO MCHEZO MCHEZO SHEIKHHivi mondi anakula ngada au kilevi gani? Kuna video 1 anashuka kwenye gari ana wenge si mchezo, kiasi anaelekezwa sehemu ya kuingilia kwenye gari.
Ukweli mchungu huu 👏👏Kapendeza sana.
Ukweli maskini huwa tuna njia ya kutafuta relief kwa watu waliotuzidi tukifikiri kufanya hivyo ni kutafuta uwiano na wao.
Ni msanii mkubwa tokea familia maskini, mitaa ya kimaskini asiyekuwa na elimu kubwa. atabaki kuwa inspirational kubwa kwa vizazi na vizazi.
Sikupingi.UMAARUFU SIO MCHEZO MCHEZO SHEIKH