Mwambieni Rais Samia amalizie mradi wa umeme wa mto Rufiji

Mwambieni Rais Samia amalizie mradi wa umeme wa mto Rufiji

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Najua utekelezaji wa mradi huu umeshuka Sana kwa Sasa! Hadi mwaka huu tungekuwa kwenye hatua za Mwisho za utekelezaji wa mradi huu! Lakini hakuna cha maana Hadi Sasa! Mkumbuke ni fedha za kodi za watanzania ndio zilizozikwa kwenye huo mradi!

Je mmekubali kweli fedha zetu zizikwe na mradi iende na maji?mmeziba masikio kabisa ndugu zangu kuwa business as usual??mnamuogopa mama na mtandao wake? au mnafurahia mradi huo kufa!?

Fanyeni hima nchi ipo gizani Hadi sasa kuendelea kuwa KIMYA ni kubariki giza totoro ndani ya NCHI! Haiwezekani NYIE mpo hapa na giza zito linaendelea nchini! Nyie ndio tumaini pekee liliobaki na Sio chama tena na serikali yake!

Kumbukeni umeme Sio Sio kibatari Hadi uzime mara kwa mara hivi!!
Mkajivike nguvu zenu muondoe hili giza totoro!

Ni hayo tu!!
 
Huo mradi Kuna upigaji wa hali ya juu, hujasikia sehemu moja imebomoka baada ya kujengwa chini ya viwango enzi ya JPM? Halafu tenda zote za kipigaji, natamani mama aweke mambo hadharani ajitue mzigo
Uendelezwe ILI tusipate hasara aiseh!!kuutelekeza ni kuhujumu kodi zetu!!
 
Wanasema mradi wa gesi haujaja kuuondoa mradi wa bwawa wa umeme la Nyerere, na wanadai wanaoamini hivyo ni wajinga. Wanasahau tangu watudanganye wameagiza crane ya tani 26 mpaka leo inakaribia kupita miezi miwili bado hiyo crane yao haionekani, wajue watanzania sio wajinga, bali wao na uongo wao ndio wajinga.

Kutumia data na maneno mengi kuelezea jambo ambalo kiuhalisia haliendani na data zao ni upuuzi tu, smart thieves; watuambie crane waliyoagiza mpaka leo imefikia wapi ndio maneno yao ya mradi wa gesi haujaja kuufuta mradi wa Nyerere dam yataaminika.

Vinginevyo mpaka sasa bado naamini huo mradi wa gesi umekuja kuufuta wa bwawa la Nyerere, watu wanataka kujitengenezea mazingira yao ya upigaji kwa kutumia mradi mpya wa gesi huku wakiupamba kwa kila maneno mazuri, na kuupotezea wa bwawa la Nyerere kama vitendo vyao vinavyoonesha.
 
Huo mradi Kuna upigaji wa hali ya juu, hujasikia sehemu moja imebomoka baada ya kujengwa chini ya viwango enzi ya JPM? Halafu tenda zote za kipigaji, natamani mama aweke mambo hadharani ajitue mzigo
Acha uongo, hichi unachokitetea kitakutokea puani sio muda. Ngoja mafuta yawafanye kazi mtautafuta kwa tochi.
 
Najua utekelezaji wa mradi huu umeshuka Sana kwa Sasa!Hadi mwaka huu tungekuwa kwenye hatua za Mwisho za utekelezaji wa mradi huu!!Lakini hakuna cha maana Hadi Sasa!Mkumbuke ni fedha za kodi za watanzania ndio zilizozikwa kwenye huo mradi!
Je mmekubali kweli fedha zetu zizikwe na mradi iende na maji?mmeziba masikio kabisa ndugu zangu kuwa business as usual??mnamuogopa mama na mtandao wake?au mnafurahia mradi huo kufa!!???
Fanyeni hima nchi ipo gizani Hadi sasa kuendelea kuwa KIMYA ni kubariki giza totoro ndani ya NCHI!!Haiwezekani NYIE mpo hapa na giza zito linaendelea nchini!!Nyie ndio tumaini pekee liliobaki na Sio chama tena na serikali yake!!
Kumbukeni umeme Sio Sio kibatari Hadi uzime mara kwa mara hivi!!
Mkajivike nguvu zenu muondoe hili giza totoro!ni hayo tu!!
Kabla Magufuli hajafa mradi ulikua asilimia ngapi na sasa iko asilimia ngapi?
.
Na umeshuka kivipi tuambie wakati wa Magufuli utekelezaji ulikua unaenda kwa kasi ipi na sasa unaenda kwa kasi ipi?
.
Je ulikua unasoma kuhusu ripoti ya CAG assad na kichere juu ya hili bwawa nenda katafute ripoti za CAG uzisome kwanza kuhusu hili bwawa
 
Huo mradi Kuna upigaji wa hali ya juu, hujasikia sehemu moja imebomoka baada ya kujengwa chini ya viwango enzi ya JPM? Halafu tenda zote za kipigaji, natamani mama aweke mambo hadharani ajitue mzigo
Wewe mzushi Nadhani ni ndugu yake na JK si bure
 
Kabla Magufuli hajafa mradi ulikua asilimia ngapi na sasa iko asilimia ngapi?
.
Na umeshuka kivipi tuambie wakati wa Magufuli utekelezaji ulikua unaenda kwa kasi ipi na sasa unaenda kwa kasi ipi?
.
Je ulikua unasoma kuhusu ripoti ya CAG assad na kichere juu ya hili bwawa nenda katafute ripoti za CAG uzisome kwanza kuhusu hili bwawa
Sijui hizi habari wanatoa wapi? Au kwa Dr Musukuma?

Mradi unaendelea, watu wapo site hata sasa hivi. Sijui kwanini kuna baadhi ya watu wanajaribu kwa nguvu sana kuonyesha kuwa Samia kashindwa. Hata kama ana mapungufu, yasiwe ya uongo

"Watanzania wana viwanda vya uongo" - JK
 
Niiombe sana serekali kufatia mradi huu wawe wanauweka kwenye vyombo vya habari angalau kwa mwezi Mara moja nakila rais anapo kuwanashughuli inayoonekana kwa umma aweanauwelezea tukifanya hivi kusimlia hatua zinavyo kwenda watuwengi tutaachana na uongo pia wapinzani kudai katiba mpya wakiwa wafatiliaji Wa miradi nakuisema kutawajengea kuaminika sio unadai katiba umejifungia chumbani au hotelini
 
Kabla Magufuli hajafa mradi ulikua asilimia ngapi na sasa iko asilimia ngapi?
.
Na umeshuka kivipi tuambie wakati wa Magufuli utekelezaji ulikua unaenda kwa kasi ipi na sasa unaenda kwa kasi ipi?
.
Je ulikua unasoma kuhusu ripoti ya CAG assad na kichere juu ya hili bwawa nenda katafute ripoti za CAG uzisome kwanza kuhusu hili bwawa
Magufuli alipokuwa hai mradi ulikuwa asilimia 63% alipokufa sasa mradi uko 24% yaani kuna sehem wamebomoa wakidai ilijengwa chini ya kiwango na crane ya tani 26 bado iko njiani. Nchi iko gizani wao wanafurahia picha ya bendera dubey
 
Back
Top Bottom