Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
hawa masai wanatakiwa waondoke, ila kama serikali inawaondoa ili kuleta mwekezaji watakuwa wanakosea, waondolewe ila siyo kuleta wawekezaji ndani ya hifadhi, imagine wamasai wanakaa kwenye hifadhi lakini hifadhi zingine zote hakuna anayeruhusu hata kusogelea, wanaona masai special.yoyote anaetetea Masai waendelee kuharibu Ngorongoro ni mjinga kuliko lubega ya Masai.