MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Timu zenye mafanikio makubwa caf.
1. AL AHLY
2. TP MAZEMBE
3. ESPERENCE.
4. Zamalek
5.Wydad
ukizitazama timu hizi zote tano. Huwa hazichezi mpira wa kuvutia.
Ball possession kwao sio ishu kabisa. Wanachojali ni kufunga magoli tu na kutwaa makombe.
Ukitaka kufanikiwa caf achana na mpira wa kuvutia.
1. AL AHLY
2. TP MAZEMBE
3. ESPERENCE.
4. Zamalek
5.Wydad
ukizitazama timu hizi zote tano. Huwa hazichezi mpira wa kuvutia.
Ball possession kwao sio ishu kabisa. Wanachojali ni kufunga magoli tu na kutwaa makombe.
Ukitaka kufanikiwa caf achana na mpira wa kuvutia.