brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Kocha wa Mbeya City Juma Mwambusi yupo kwenye mazungumzo na klabu ya Yanga ili kurithi nafasi ya kocha msaidizi iliyoachwa na Bonfasi Mkwasa alienda kuwa kocha wa taifa stars, tayari mkwasa ameshaaga klabuni yanga. Kocha mkuu wa yanga ndio alie mpendekeza mwambusi kwakua ni mchapa kazi, anajua kukaa na wachezaji na hana majungu.