Mwanamke akitoka ametoka ila mwanaume akitoka anarudi hawezi kutoka alipoanzisha mwenyewe, inabidi uelewe hapo
Njoo DM basiSawa.
Kama wewe ndio ulimtoa bikira msameheHabari zenu wakuu.
Nauliza hivi Kwa Sisi WANAUME
Je, mwanamke msaliti anasemehewa?
Daah kaka unamoyo mgumuNdio anasamehewa, hakuna lisilosameheka.
Daah nitamuuliza mchizi wanguKama wewe ndio ulimtoa bikira msamehe
Sio moyo mgumu ni moyo laini kusameheDaah kaka unamoyo mgumu
Ni mkeo? Achana nae maumivu ya kuyombewa yanadumu enzi na enzi hata akivunja kikombe utakumbuka, alafu mwanamke alikukucheat ujue kabisaa aliwaza na akaona ni sahihi kufanya hivyo tafakari sana bora ujiepushe kuliko kuja kuuana badaeHabari zenu wakuu.
Nauliza hivi Kwa Sisi WANAUME
Je, mwanamke msaliti anasemehewa?
Asee hongeraSio moyo mgumu ni moyo laini kusamehe
Jamaa anapitia wakati mgumu SanaNi mkeo? Achana nae maumivu ya kuyombewa yanadumu enzi na enzi hata akivunja kikombe utakumbuka, alafu mwanamke alikukucheat ujue kabisaa aliwaza na akaona ni sahihi kufanya hivyo tafakari sana bora ujiepushe kuliko kuja kuuana badae
Kama huyo binti ndo wa kwanza kwako, na haujawahi kutembea na mwanamke yeyote wala kumsaliti kwa sabuni basi piga chiniHabari zenu wakuu.
Nauliza hivi Kwa Sisi WANAUME
Je, mwanamke msaliti anasemehewa?
Hasamehewi hata kwa BAHATI mbaya huyo ni msaliti tu na ataendelea kukusaliti. Piga chini fanya usajili makini.Habari zenu wakuu.
Nauliza hivi Kwa Sisi WANAUME
Je, mwanamke msaliti anasemehewa?
Halafu unatafuta pisi nyingine ambae ex wake alimwacha kwasababu ya usalitiasamehewi ,unaachana nae aende kwa msaliti wake.
Halafu unatafuta pisi nyingine ambae ex wake alimwacha kwasababu ya usaliti
Alafu nashangaa sana siku hizi hawa wanawake sijui uanzishwe mtaala wa kutulia kwenye ndoa mana wake za watu wameshindikana kuliko wanaojiuza wengine wanaliwa mpaka vinyeo nje huko imagine mke anaenda kuliwa mataqor alafu akirud anajichekesha chekesha anakupikia chakula ,Jamaa anapitia wakati mgumu Sana
Ndo huko ameachwa kwasababu hiyo hiyo ya usaliti.Demu mpya kwangu ni demu wa msela wa zamani....Kama akija kwangu na kuendeleza usaliti napiga tena chini.
Sawa.Sawa kivipi tena? mpe mwongozo
Umelitapika kama lilivyo ..Umetombewer?