😆😆😆😆Ni mchezaji asiyetumia akili uwanjani haangalii hatari inayokuja nyuma, hakawii kukata tamaaa,ni mchezaji anaefanya makosa kuliko mwingine yoyote,tena makosa yasiyo na kichwa wala mguu
Anachosema jamaa Yuko sahihi,,mwamnyeto sio beki mzuri ila hayo unayosema wewe ni kwakua alikua anacheza bacca ndio maana tumefungwa magoli machache,Ila ndiyo defense iliyoruhusu magoli machache kwenye ligi. Vipi hizo beki bora za tanesco fense mbona zinatoboka tu
kwahiyo ucheze wewe?Ni mchezaji asiyetumia akili uwanjani haangalii hatari inayokuja nyuma, hakawii kukata tamaaa,ni mchezaji anaefanya makosa kuliko mwingine yoyote,tena makosa yasiyo na kichwa wala mguu
Mwasibu feki kawasiliKacheza bila muamala. Wapeni backup
Anawaza Maokoto Muda wote.
Mwamnyeto Kwenye mechi yenye pressing hawezi kabisa , Hana Kasi kabisa na maamuzi sahihi ya haraka .Ni mchezaji asiyetumia akili uwanjani haangalii hatari inayokuja nyuma, hakawii kukata tamaaa,ni mchezaji anaefanya makosa kuliko mwingine yoyote,tena makosa yasiyo na kichwa wala mguu