Skendo tena na wakati anajiweka Sawa na yeye yakimkuta ajue anaanza wapi hati akiwa amefika kwenye geti la huko mbinguni ajue cha kujibu alichowafanyia maelfu ya masikini kwa kuwauzia udongo pale kwa Mkapa
Time is over Ila kuna wale die hard fans hawawezi kukuelewa,Muda wao umefika. Wanakuwa exposed
Mbwa hakosi wifi? πDuniani kila mtu ana mtetezi, atakayeshindwa ateme bungo.
Kule kwetu Singida kuna usemi βmbwa hakosi wifiβ sijui maana yake hadi leo, mbwa na wifi wapi na wapi?
Eti ππππMbwa hakosi wifi? π
Mwamposa mwenyewe ana tetesi za kutegesha watu wanaoigiza kuumwa kwenye kadamnasi...
Siku zake zinahesabika.
NB: kwangu mtu yeyote anaetangaza miujiza ni tapeli, yeyote yule.