NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
BBC wamejichanganya! Ukisoma kwa umakini utagundua hii scandal ni uzushi. Kwenye uchungu wao wanasema,
Kuna wale mabinti walienda wote kwa TB Joshua na akarudi mmoja mwingine akabaki huko. BBC wanasema, wakati familia ya huyo binti aliyebaki huko haojui yuko wapi yule alieenda naye naye kukusema bali moyo wake ulikuwa ukimuuma tu.
Pia walimuonyesha yule binti aliyekuwa anatafutwa akifanya huduma huku akionekana kwenye TV.
Na tujuavyo kwa nchi za wenzetu hakuna mtu atakayetoka nje ya mipaka ya nchi asijulikane alienda wapi.
Kuna wale mabinti walienda wote kwa TB Joshua na akarudi mmoja mwingine akabaki huko. BBC wanasema, wakati familia ya huyo binti aliyebaki huko haojui yuko wapi yule alieenda naye naye kukusema bali moyo wake ulikuwa ukimuuma tu.
Pia walimuonyesha yule binti aliyekuwa anatafutwa akifanya huduma huku akionekana kwenye TV.
Na tujuavyo kwa nchi za wenzetu hakuna mtu atakayetoka nje ya mipaka ya nchi asijulikane alienda wapi.